Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,096
Ritakuja rikamanda moja la mkoa maalumu wa kiporisi na kusema... Ndugu wananchi kama mnavyojua geshi lenu ra porisi riko mbioni kumtafuta mharifu, rakini kama mnavyojua ni kazi kubwa kwani hawa Singa singa ni wachache na wanafanana sana. tutaunda kamati maalumu ya wataaamu wa interejensia kuweza kuwakamata wote baada ya kufirita na kujua who is who! Asanteni.
Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka. Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile.
Singa singa kaua tena leo hii tegeta .
more updates to come
Tunakuaminia mkuu hebu lete maapdeti maana sasa hivi inabidi ukitoka home uvae vest ya bullet proof aisee kama SWAT
Inabid ku connect matukio yote ya haya mauaji kuanzia dereva wa dala dala sinza, ya kikwajuni na huko tegeta kama ni kwel imetokea tena. Then mashuhuda ya haya matukio watuambie kama muuaji ni huyo huyo singa singa.tukishapata uhakika kama muuaji ni the same person tufanye screening kwa hao marehemu wote kujua undani wa ID zao! Kama ni just civilians au walikuwa undercover kwenye system au illegal busnes. Tukipata yote hayo nadhan tutaweza kupata sababu za mauaji.
huenda ikawa kuna mtu ana list ya targeted object(person) kutokana na sababu flan flan..napata mashaka kuamini kwamba hao marehemu wote wamepatwa na umati kwa just conflicts za kawaida tu hvyo barabarani! Mbna daily tunakwaruzana na watu kibao tu kwenye folen huku barabarani ila hayatokei haya majanga? Kama chanzo ni kukwaruzana tu njian wa ngapi wangepigwa risasi kwa siku?
R.I.P KWA WOTE WALIOPATA UMAUTI.MUNGU AZITIE NGUVU FAMILIA ZAO.
[FONT=times
new roman] Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo
chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa
kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio
hilo linasema chanzo ni mzozo uliojitokeza kati ya jamaa mmoja mwenye
asili ya Asia (Singasinga) ambapo wakati wakiwa katika vyombo vyao vya
usafiri Singasinga akiwa kwenye pikipiki na mtu mwingine ambaye sasa
hivi ni marehemu akiwa katika gari aina ya Toyota Carina.
Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa
limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na
katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari
lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili
kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka.
Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa
anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani
yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi
walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za
pikipiki ile.
Kupitia JF nikiamini ni mtandao mkubwa ningeomba tujitahidi
kutafuta taarifa na mwenye usahihi wa namba au kumfahamu huyo Singasinga
atoe vyote hapa JF na bila shaka makachero wa polisi ambao ni wanachama
wa JF watashughulikia.
Nawasilisha.
Asanteni.
[/FONT]
Tunakuaminia mkuu hebu lete maapdeti maana sasa hivi inabidi ukitoka home uvae vest ya bullet proof aisee kama SWAT
Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio hilo linasema chanzo ni mzozo uliojitokeza kati ya jamaa mmoja mwenye asili ya Asia (Singasinga) ambapo wakati wakiwa katika vyombo vyao vya usafiri Singasinga akiwa kwenye pikipiki na mtu mwingine ambaye sasa hivi ni marehemu akiwa katika gari aina ya Toyota Carina.
Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka. Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile.
Kupitia JF nikiamini ni mtandao mkubwa ningeomba tujitahidi kutafuta taarifa na mwenye usahihi wa namba au kumfahamu huyo Singasinga atoe vyote hapa JF na bila shaka makachero wa polisi ambao ni wanachama wa JF watashughulikia.
Nawasilisha.
Asanteni.
Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio hilo linasema chanzo ni mzozo uliojitokeza kati ya jamaa mmoja mwenye asili ya Asia (Singasinga) ambapo wakati wakiwa katika vyombo vyao vya usafiri Singasinga akiwa kwenye pikipiki na mtu mwingine ambaye sasa hivi ni marehemu akiwa katika gari aina ya Toyota Carina.
Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka. Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile.
Kupitia JF nikiamini ni mtandao mkubwa ningeomba tujitahidi kutafuta taarifa na mwenye usahihi wa namba au kumfahamu huyo Singasinga atoe vyote hapa JF na bila shaka makachero wa polisi ambao ni wanachama wa JF watashughulikia.
Nawasilisha.
Asanteni.
loh watangazaji wengine we acha tu yaani ni K 3[kusoma,kuandika nakuhesabu],! Redio nyingine bwana hivi zina wahariri kweli/ ?
- mtu anadondoka na pikipiki halafu ananyanyuka akiwa na chupa pombe[wine/?] anaendelea kuinywa! hivyo pikipiki ilikuwa ya matairi sita au nane?alipoanguka hakuumia wala kupata mshtuko?hiyo chupa ilisevu vipi impact ya ajali haikurushwa mbali wala haikuvunjika? au labda alifungua droo ya pikipiki baada ya ajali na kutoa chupa ya wine nakuanza kuinywa?
- Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile?/ila waliiona chupa ya wine na bastola?
- WAPO FM , mna mhariri kweli au ndio ile ile kanjanja style wonders will never end