Singa Singa Aua mtu kwa Bastola Kinondoni Mkwajuni

Singa Singa Aua mtu kwa Bastola Kinondoni Mkwajuni

Ritakuja rikamanda moja la mkoa maalumu wa kiporisi na kusema... Ndugu wananchi kama mnavyojua geshi lenu ra porisi riko mbioni kumtafuta mharifu, rakini kama mnavyojua ni kazi kubwa kwani hawa Singa singa ni wachache na wanafanana sana. tutaunda kamati maalumu ya wataaamu wa interejensia kuweza kuwakamata wote baada ya kufirita na kujua who is who! Asanteni.

Hahahahahahahahaaaaaaaaaa!!!
 
Hapo ndugu wa marehemu nao sasa walipize kisasi, yaani iwe jino kwa jino maana polisi haipo tena kwa manufaa ya raia. Ndugu nao waue Karasinga 1 baada ya mwingine maana wanafanana mno!! Tumbaf zao kabisa tumewahifadhi halafu wanatuletea mambo ya Pakstani na India hapa!! Na sisi wa-TZ jamani kwa uoga tumezidi, yaani jamaa anaua ndugu yenu anadandia pikipiki nyie mnamwangalia tu!!!??
 
Huyo hawezi kuwa SABODO kweli yule mfadhili wa Ule Mtandao wa Youtube?
 
IGP ameliharibu jeshi la Polisi....inabidi alirekebishe kabla hajaamua kuomba kustaafu!!asituachie jeshi likiwa vipande vipande...
 
RAIS WANGU KIKWETE LAANA YA NCHI HII UMEILETA WW NAYO ITAKUTAFUNA BABA,sasa 2natofauti gani nchi zenye vita ya wnyw
 
FBI warudi waingilie kati watucholee mchoro tutampata
 
Sasa nguvu zote polisi wameelekeza kupambana na CHADEMA,wanasahau usalama wa raia na mali zao! inauma sana.
 
Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka. Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile.

loh watangazaji wengine we acha tu yaani ni K 3[kusoma,kuandika nakuhesabu],! Redio nyingine bwana hivi zina wahariri kweli/ ?
  • mtu anadondoka na pikipiki halafu ananyanyuka akiwa na chupa pombe[wine/?] anaendelea kuinywa! hivyo pikipiki ilikuwa ya matairi sita au nane?alipoanguka hakuumia wala kupata mshtuko? hiyo chupa ilisevu vipi impact ya ajali haikurushwa mbali wala haikuvunjika? au labda alifungua droo ya pikipiki baada ya ajali na kutoa chupa ya wine nakuanza kuinywa?
  • Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile?/ila waliiona chupa ya wine na bastola?
  • WAPO FM , mna mhariri kweli au ndio ile ile kanjanja style wonders will never end


 
Tunakuaminia mkuu hebu lete maapdeti maana sasa hivi inabidi ukitoka home uvae vest ya bullet proof aisee kama SWAT

Inabid ku connect matukio yote ya haya mauaji kuanzia dereva wa dala dala sinza, ya kikwajuni na huko tegeta kama ni kwel imetokea tena. Then mashuhuda ya haya matukio watuambie kama muuaji ni huyo huyo singa singa.tukishapata uhakika kama muuaji ni the same person tufanye screening kwa hao marehemu wote kujua undani wa ID zao! Kama ni just civilians au walikuwa undercover kwenye system au illegal busnes. Tukipata yote hayo nadhan tutaweza kupata sababu za mauaji.

huenda ikawa kuna mtu ana list ya targeted object(person) kutokana na sababu flan flan..napata mashaka kuamini kwamba hao marehemu wote wamepatwa na umati kwa just conflicts za kawaida tu hvyo barabarani! Mbna daily tunakwaruzana na watu kibao tu kwenye folen huku barabarani ila hayatokei haya majanga? Kama chanzo ni kukwaruzana tu njian wa ngapi wangepigwa risasi kwa siku?

R.I.P KWA WOTE WALIOPATA UMAUTI.MUNGU AZITIE NGUVU FAMILIA ZAO.
 
Inabid ku connect matukio yote ya haya mauaji kuanzia dereva wa dala dala sinza, ya kikwajuni na huko tegeta kama ni kwel imetokea tena. Then mashuhuda ya haya matukio watuambie kama muuaji ni huyo huyo singa singa.tukishapata uhakika kama muuaji ni the same person tufanye screening kwa hao marehemu wote kujua undani wa ID zao! Kama ni just civilians au walikuwa undercover kwenye system au illegal busnes. Tukipata yote hayo nadhan tutaweza kupata sababu za mauaji.

huenda ikawa kuna mtu ana list ya targeted object(person) kutokana na sababu flan flan..napata mashaka kuamini kwamba hao marehemu wote wamepatwa na umati kwa just conflicts za kawaida tu hvyo barabarani! Mbna daily tunakwaruzana na watu kibao tu kwenye folen huku barabarani ila hayatokei haya majanga? Kama chanzo ni kukwaruzana tu njian wa ngapi wangepigwa risasi kwa siku?

R.I.P KWA WOTE WALIOPATA UMAUTI.MUNGU AZITIE NGUVU FAMILIA ZAO.

Mzee unafaa kuwa fbi
 
Kwa mujibu wa mashuhuda aliefanya mauaji ni mwarabu-koko, sio singasinga. Wengine wanasema anafahamika maeneo hayo ya tukio, na walisikia akitajwa kwa jina katika purukushani zile. Pengine ni jambazi sugu na mashuhuda wengine wanasema alikutwa na taser na chupa ya Smirnoff Vodka. Sidhani kama kuna intelijensia makini watashindwa kumkamata he is too stupid to be perfect criminal.
 
Hii ni sawa tutakuwa tunaheshimiana. Unakuta mtu anakutukana matusi mazito barabarani kama walivyozoea hawa waendesha daladala, unamlabua domo lake kwa pisto.

Mnakumbuka issue ya marehemu Ditopile, dereva wa daladala kamgonga na baada ya kumkimbiza kumuuliza mbona unakimbia conductor akaanza kuporomosha matusi, ikiwa hivyo na umeongozana na mkeo, binti yako au mkweo unafanyaje zaidi ya kumlabua.

Afrika kusini wanaheshimiana wazungu kwa waafrika kwa mtindo huu, ukijua nina uwezo binafsi wa kukudhibiti tutaombana msamaha badala ya kukashifiana kwa matusi ya nguoni.
 
[FONT=times
new roman] Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo
chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa
kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio
hilo linasema chanzo ni mzozo uliojitokeza kati ya jamaa mmoja mwenye
asili ya Asia (Singasinga) ambapo wakati wakiwa katika vyombo vyao vya
usafiri Singasinga akiwa kwenye pikipiki na mtu mwingine ambaye sasa
hivi ni marehemu akiwa katika gari aina ya Toyota Carina.

Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa
limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na
katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari
lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili
kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka.
Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa
anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani
yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi
walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za
pikipiki ile.

Kupitia JF nikiamini ni mtandao mkubwa ningeomba tujitahidi
kutafuta taarifa na mwenye usahihi wa namba au kumfahamu huyo Singasinga
atoe vyote hapa JF na bila shaka makachero wa polisi ambao ni wanachama
wa JF watashughulikia.

Nawasilisha.
Asanteni.
[/FONT]

wine in ze head tena,singasinga kupatikana kwa maelezo hayo ni ngumu
sana,cha muhimu wamswalie marehemu apumzike kwa amani,mazingira
hayasaidii sana kupatikana kwa muuaji
 
Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio hilo linasema chanzo ni mzozo uliojitokeza kati ya jamaa mmoja mwenye asili ya Asia (Singasinga) ambapo wakati wakiwa katika vyombo vyao vya usafiri Singasinga akiwa kwenye pikipiki na mtu mwingine ambaye sasa hivi ni marehemu akiwa katika gari aina ya Toyota Carina.

Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka. Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile.

Kupitia JF nikiamini ni mtandao mkubwa ningeomba tujitahidi kutafuta taarifa na mwenye usahihi wa namba au kumfahamu huyo Singasinga atoe vyote hapa JF na bila shaka makachero wa polisi ambao ni wanachama wa JF watashughulikia.

Nawasilisha.
Asanteni.

mpe dili DPP
 
Waheshimiwa wana JF Nimeleta taarifa hii ambayo chanzo chake ni WAPO FM inayosema kwamba hapo jana mnamo majira ya saa kumi jioni maeneo ya Kinondoni Mkwajuni Bondeni kulitokea mauaji. Tukio hilo linasema chanzo ni mzozo uliojitokeza kati ya jamaa mmoja mwenye asili ya Asia (Singasinga) ambapo wakati wakiwa katika vyombo vyao vya usafiri Singasinga akiwa kwenye pikipiki na mtu mwingine ambaye sasa hivi ni marehemu akiwa katika gari aina ya Toyota Carina.

Inasemakana singasinga huyu alitaka kulipita gari lililokuwa limeharibika mbele yake na kwa bahati mbaya akaanguka barabarani na katika harakati za kumkwepa huyo jamaa ambaye ni marehemu akabamiza gari lake kwenye kingo za barabara na kupasuka gurudumu. Alimwendea ili kumdai amlipe kwa kusababisha ajali ile hususani gurudumu kupasuka. Singasinga yule aliinuka akiwa na chupa ya kilevi aina ya wine akiwa anakunywa, ubishi ulipokolea alichomoa bastola yake na kumpiga kichwani yule mwenye Carina na kupanda pikipiki yake na kutoweka. Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile.

Kupitia JF nikiamini ni mtandao mkubwa ningeomba tujitahidi kutafuta taarifa na mwenye usahihi wa namba au kumfahamu huyo Singasinga atoe vyote hapa JF na bila shaka makachero wa polisi ambao ni wanachama wa JF watashughulikia.

Nawasilisha.
Asanteni.

makachero wana login Youtube kwanza
 
Polce wako busy kuiua Chadema, waharfu fanyen mambo yenu
 
loh watangazaji wengine we acha tu yaani ni K 3[kusoma,kuandika nakuhesabu],! Redio nyingine bwana hivi zina wahariri kweli/ ?
  • mtu anadondoka na pikipiki halafu ananyanyuka akiwa na chupa pombe[wine/?] anaendelea kuinywa! hivyo pikipiki ilikuwa ya matairi sita au nane?alipoanguka hakuumia wala kupata mshtuko?hiyo chupa ilisevu vipi impact ya ajali haikurushwa mbali wala haikuvunjika? au labda alifungua droo ya pikipiki baada ya ajali na kutoa chupa ya wine nakuanza kuinywa?
  • Wananchi walioshuhudia tukio hilo kwa bahati mbaya hawakuweza kuchukua namba za pikipiki ile?/ila waliiona chupa ya wine na bastola?
  • WAPO FM , mna mhariri kweli au ndio ile ile kanjanja style wonders will never end

Ukienda hospitali kwa matibabu husuani ya minyoo inaelekea wewe ukiambiwa "Nenda Kalete Choo" utaenda nyumbani kwenu na kuhangaika na jengo la choo kwa ajili ya kupeleka kwa daktari. Read/Understand/Grasp and Go!!!

 
Back
Top Bottom