Msaga sumu ndo mafalme wao, japo saivi nimetokea kumpenda Man fongo , kuna mmoja kaimba wimbo unaitwa HAUNA nauoenda sana, na mwingine kaimba singeli video nzuri sana ushuani na uswazi nimemsahau jina....nashauri Diamond apige singeli moja atakuwa kaupaisha huu mziki sana