Singeli ya Kabudi ndiyo hii au kuna nyingine?

Singeli ya Kabudi ndiyo hii au kuna nyingine?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii hii wadada wanacheza bila kuvaa chupi?

Yaani hii? Watanzania kwisha habari yetu!
 
Watu wanazidi kujitia uchizi in the name of content.

Kila nikiingia mitandaoni naona kabisa huku mtaani tunaigiza tu but we are crazy.
 
Kama alitoka jalalani .na mziki ni wa kutoka jalalani vile vile
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii hii wadada wanacheza bila kuvaa chupi?

Yaani hii? Watanzania kwisha habari yetu!View attachment 3246167
Asigombee Tena ,akacheze na wajukuu singeli!
 
Unatoa wapi muda wa kumsikiliza profesa majalala
 
Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii hii wadada wanacheza bila kuvaa chupi?

Yaani hii? Watanzania kwisha habari yetu!View attachment 3246167
Twende gidigidi gidigidi......
 
1. Utatoa au hutoi?
2. Haina ushemeji tunakulaaa
3. Masela nasikia upwiru
 
Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii hii wadada wanacheza bila kuvaa chupi?

Yaani hii? Watanzania kwisha habari yetu!View attachment 3246167
Aisee wanarusha misambwanda vizuri. Itabidi nielekezwe hapa niende kupata hii burudani
 
Mbona hawajajimwagia maji ? Sijapenda kabisa

Alafu Cameraman tuliza camera hiyo acha kuhangaika
 
Uyo dada ukimchek fasta fasta mabwana wake wakipungua Sana ni 78 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom