Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huo uchafu wa pwani ndio amesema uwe alama ya Taifa. kwanza singeli ni alama ya watu wavivu, wasiojielewa, wachafu na masikini. (sikebehi ila ndio hivyo, singeli huchezwa na watu wa kimasikini tu). nani anapenda umasikini?Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii hii wadada wanacheza bila kuvaa chupi?
Yaani hii? Watanzania kwisha habari yetu!View attachment 3246167