A
Anonymous
Guest
Habari.
Kuna kero moja Manispaa ya Singida, kumekuwa na tabia ya uchelewaji wa kuchukua taka katika baadhi ya maeneo hasa Ginery.
Wananchi wanatoa taka nje siku ya kubeba hawaji kuchukua. Hii ni wiki ya tatu taka zimezagaa kwenye mitaa tu.
Na ni tatizo limeanza toka mwezi wa 12 Mwaka jana (2024). Huko mitaani taka zinatupwa ovyo sababu watu wameshajaza vifaa vyao vya kuwekea taka.
Hii picha chinii ni karibu na Chuo cha Uhasibu barabara ya kwenda Ginery.
Pia soma ~ Hatimaye gari la taka lapita kukusanya takataka mitaa ya Singida
Kuna kero moja Manispaa ya Singida, kumekuwa na tabia ya uchelewaji wa kuchukua taka katika baadhi ya maeneo hasa Ginery.
Wananchi wanatoa taka nje siku ya kubeba hawaji kuchukua. Hii ni wiki ya tatu taka zimezagaa kwenye mitaa tu.
Na ni tatizo limeanza toka mwezi wa 12 Mwaka jana (2024). Huko mitaani taka zinatupwa ovyo sababu watu wameshajaza vifaa vyao vya kuwekea taka.
Hii picha chinii ni karibu na Chuo cha Uhasibu barabara ya kwenda Ginery.
Pia soma ~ Hatimaye gari la taka lapita kukusanya takataka mitaa ya Singida