Singida Big Stars mpeni timu Kocha Zahera

Singida Big Stars mpeni timu Kocha Zahera

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Mmesajili wachezaji wazuri sana pengine kwa gharama kubwa, lakini ni ukweli mtupu kuwa Kocha Van ameshazeeka na uwezo wake hauwezi kuvuka pale.

Ushauri wa bure kabisa, hebu mpeni Mwinyi Zahera timu yenu ili mpate tabasamu la thamani ya pesa. Mtachelewa sana kama mtadhani marefa wanawaonea.
 
umewahi tu kuandika ila haizidi week 2 zahera anapewa singida stars
itakuwa vizuri sana, binafsi napenda watu wanaopenda mpira wa miguu. Wamiliki wa Singida Big Star wanaonyesha kuwa wanaupenda mpira wa miguu, hivyo hawastahili matokeo wanayoyapata.
 
Back
Top Bottom