Hussein Massanza
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 1,016
- 2,195
Watu wa Soka,
Jioni ya leo tulicheza mechi ya kirafiki na klabu ya Arusha City FC ya hapa hapa jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya mazoezi yetu katika kipindi hiki ambacho bado tupo kambini tukijiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu.
Mchezo ulimalizika kwa sare ya 2-2
Ulikuwa mchezo mzuri sana wa kirafiki. Benchi letu la Ufundi leo llijikita zaidi kuangalia uwezo wa kikosi na muunganiko wa wachezaji wetu, haukuwa mchezo wa ushindani kusaka matokeo ndio sababu tulitengeneza nafasi nyingi lakini hatukuzitumia makusudi.
Jumapili tutacheza na Mbuni FC kuendelea kutazama maendeleo ya kikosi chetu.
Taarifa na iwafikie!
Jioni ya leo tulicheza mechi ya kirafiki na klabu ya Arusha City FC ya hapa hapa jijini Arusha, ikiwa ni sehemu ya mazoezi yetu katika kipindi hiki ambacho bado tupo kambini tukijiandaa na msimu ujao wa Ligi Kuu.
Mchezo ulimalizika kwa sare ya 2-2
Ulikuwa mchezo mzuri sana wa kirafiki. Benchi letu la Ufundi leo llijikita zaidi kuangalia uwezo wa kikosi na muunganiko wa wachezaji wetu, haukuwa mchezo wa ushindani kusaka matokeo ndio sababu tulitengeneza nafasi nyingi lakini hatukuzitumia makusudi.
Jumapili tutacheza na Mbuni FC kuendelea kutazama maendeleo ya kikosi chetu.
Taarifa na iwafikie!