Singida Black Stars tunatafuta vijana wa kuwasajili U20 na U17

Singida Black Stars tunatafuta vijana wa kuwasajili U20 na U17

Hussein Massanza

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
1,016
Reaction score
2,195
Habari watu wa Soka

Singida Black Stars tunatarajia kufanya majaribio ya kutafuta wachezaji vijana wenye vipaji mkoani Singida watakaounda timu zetu za SBS U-20 na SBS U-17.

VIGEZO:

1. Ni lazima kijana awe mkazi wa Singida

2. Ni lazima kijana awe na umri kuanzia miaka 16 hadi 19

3. Ni lazima kijana apate Barua ya utambulisho kutoka kwa wazazi/walezi na Serikali ya Mtaa

4. Kila kijana atajigharamia chakula, nauli na malazi wakati wote wa majaribio.

ZINGATIA:

1. Zoezi hili litaratibiwa na Chama cha Soka Mkoa wa Singida (SIREFA) kwa kushirikiana na Idara ya Ufundi ya Singida Black Stars.

2. Hakuna gharama za usajili wala malipo yoyote zitakazotozwa. Majaribio ni BURE!

3. ⁠Majaribio yatafanyika kwa siku tatu kati ya Agosti 2 hadi Agosti 4 2024 kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa CCM LITI, Singida.

NB: Kila kijana afike na barua zake siku ya majaribio katika uwanja wa CCM LITI - Singida.
 
Habari watu wa Soka

Singida Black Stars tunatarajia kufanya majaribio ya kutafuta wachezaji vijana wenye vipaji mkoani Singida watakaounda timu zetu za SBS U-20 na SBS U-17.

VIGEZO:

1. Ni lazima kijana awe mkazi wa Singida

2. Ni lazima kijana awe na umri kuanzia miaka 16 hadi 19

3. Ni lazima kijana apate Barua ya utambulisho kutoka kwa wazazi/walezi na Serikali ya Mtaa

4. Kila kijana atajigharamia chakula, nauli na malazi wakati wote wa majaribio.

ZINGATIA:

1. Zoezi hili litaratibiwa na Chama cha Soka Mkoa wa Singida (SIREFA) kwa kushirikiana na Idara ya Ufundi ya Singida Black Stars.

2. Hakuna gharama za usajili wala malipo yoyote zitakazotozwa. Majaribio ni BURE!

3. ⁠Majaribio yatafanyika kwa siku tatu kati ya Agosti 2 hadi Agosti 4 2024 kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa CCM LITI, Singida.

NB: Kila kijana afike na barua zake siku ya majaribio katika uwanja wa CCM LITI - Singida.
Mkuu kumbe uko black stars, hongera
 
Hongereni sana, wazo na hatua zuri ya kuibua vipaji.

Likifanikiwa hili nendeni mbali zaidi kufungua Academy itakayokuza vipaji kuamzia watoto wakiwa wadogo kama Ulaya.
 
Habari watu wa Soka

Singida Black Stars tunatarajia kufanya majaribio ya kutafuta wachezaji vijana wenye vipaji mkoani Singida watakaounda timu zetu za SBS U-20 na SBS U-17.

VIGEZO:

1. Ni lazima kijana awe mkazi wa Singida

2. Ni lazima kijana awe na umri kuanzia miaka 16 hadi 19

3. Ni lazima kijana apate Barua ya utambulisho kutoka kwa wazazi/walezi na Serikali ya Mtaa

4. Kila kijana atajigharamia chakula, nauli na malazi wakati wote wa majaribio.

ZINGATIA:

1. Zoezi hili litaratibiwa na Chama cha Soka Mkoa wa Singida (SIREFA) kwa kushirikiana na Idara ya Ufundi ya Singida Black Stars.

2. Hakuna gharama za usajili wala malipo yoyote zitakazotozwa. Majaribio ni BURE!

3. ⁠Majaribio yatafanyika kwa siku tatu kati ya Agosti 2 hadi Agosti 4 2024 kuanzia saa 3:00 asubuhi mpaka saa 11:00 jioni kwenye uwanja wa CCM LITI, Singida.

NB: Kila kijana afike na barua zake siku ya majaribio katika uwanja wa CCM LITI - Singida.
Mwanzo mzuri nawashauri awamu ya kwanza chukueni vijana wengi halafu endeleeni kuwafanyia mchujo kwa awamu zinazofuata maana siku tatu hazitoshi kujua upekee wa mchezaji sio kila mtu anaweza ku-adapt mazingira mapya haraka especially kwenye age ya utoto, pia mshipachike vijeba kwa upendeleo au connection. Vile vile genes ni muhimu sana kama dogo ana kitu cha ziada mfano mrefu katika umri mdogo uyo anafundishika akipata walimu wazuri na matunzo mazuri ya mwili miaka ijayo anapiga mkoba safi kabisa wale wakina Sule wa dortmund hawana vipaji vya kutisha ni miili yao tu ilibeba wakawa trained tangu wakiwa watoto. Nimecheki game ya yanga vs augsburg jana aisee tofauti ya miili ni kubwa sana
 
Dah, ingekuwa enzi zangu mngenichukua.. sasa naelekea hata umri wa ku expire hapa duniani
 
Mbwa nyie. Si mngetangaza hukohuko singida tu?
Mkuu Active na mkuu Paw na mkuu Moderator njooni hapa mwenzeni natukanwa ,nadhalilishwa ,naadhibiwa, nakejeliwa na mtu nisiyemjua Wala kuja katoka wapi Ila nipo tayari kuwaeleza ukweli kuwa huyu katumwa na shetani mpinga Raha na starehe zangu hasa siku njema iliyobarikiwa kwaajili ya kustarehe jumapili .

Tafadhali husika naye na muumkumbushe wengine majini hatununui Ila tunatengeneza tu
 
Ni hatua nzuri sana itakayopelekea ukuaji wa club kwa haraka nawapongeza kwa uthubutu.

Vilabu vyote imara duniani uimara wake unaanzia kwenye youth development system kwa maana ya timu za vijana.

Club culture na identify huwa inatengenezwa kwanzia kwenye timu za wadogo na kisha wanakuwa nayo mpaka kwenye senior level.

Na pia hii itafungua milango ya partnership na vilabu vikubwa vya ulaya... ukienda nchini kama Senegal kuna vilabu vingi sana ambavyo vimejenga mahusiano na vilabu vya ulaya mfano kma Foot generation FC wamejenga mahusiano na Club ya Metz inayoshiriki legue 1 ya ufaransa, AS dakar Sacre wana mahusiano na club ya Olympic lyonnaise ya ufaransa.... na kila mwaka hivi vilabu vya ufarasa huwa kuna fungu vinatoa kwa hivi vilabu vya senegal hili kuboresha academy zao.

Ninachowaomba ni kwamba kwenye huo mchakato wenu vijana mtakaowapitisha wawe ni watu wenye vipaji vya mpira kweli na msilete kabisa masuala ya upendeleo na undungunization, zoezi lenu linatakiwa lizingatie zaidi meritocracy.. huu undugunization umetukwamisha kwenye mambo mengi sana.
 
Back
Top Bottom