Singida BS vs Yanga, hii mechi ipo fixed?

Singida BS vs Yanga, hii mechi ipo fixed?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Aisee natazama hii mechi ya Singida BS vs Yanga nashangaa kweli

Singida hawataki kushambulia Yanga halafu wanaruhusu mashambulizi mengi kiasi kuwa dakika ya 20 pekee wamesharuhusu magoli 2 uwanja wao wa nyumbani

Yaani Singida ambayo ni timu ya 3 kwa ubora ligi kuu, ikiwa imezizidi kwa ubora Azam na Geita Gold, ambazo Yanga inazifunga kwa tabu, leo inafungwa goli mbili ndani ya dakika 20 na 5 shots on target?

Hii Singida ndio ile tuijuayo?
 
Ukikutana na Yanga ya Sasa lazima ionekane hujui usiwalaumu Singida hadi Yanga anaongoza ligi hajaifunga Singida peke yake
 
Ukikutana na Yanga ya Sasa lazima ionekane hujui usiwalaumu Singida hadi Yanga anaongoza ligi hajaifunga Singida peke yake
Yanga timu nyingine anazifunga kwa tabu sana, mfano Geita Gold na Azam ambazo Singida amezizidi kwa uwezo, lakini hawafungwi kizembe na Yanga kama Singida
 
Aisee natazama hii mechi ya Singida BS vs Yanga nashangaa kweli
Singida hawataki kushambulia Yanga halafu wanaruhusu mashambulizi mengi kiasi kuwa dakika ya 20 pekee wamesharuhusu magoli 2 uwanja wao wa nyumbani

Hii Singida ndio ile tuijuayo?
Zero shot on target kwa Wydad ilikua fixed?
 
Back
Top Bottom