Singida Fountaingate pre-season ndani ya jiji la Arusha

Singida Fountaingate pre-season ndani ya jiji la Arusha

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Timu ya soka ya Singida Fountaingate ya mkoani Singida imelichagua Jiji la Arusha kuwa sehemu yao ya maandalizi ya Msimu mpya wa ligi kuu ya #NBCPreamierLeague Tanzania pamoja na Michuano ya Kombe la SHIRIKISHO barani Afrika.

Mandhari na Hali ya hewa ya Jiji la Arusha imewasukuma kupiga kambi huko kwa kuwa inafanana sana na baadhi ya nchi za Ulaya na nchi nyingine za Afrika, hivyo hawajaona sababu ya kutoka nje ya nchi.
 
Miaka ya nyuma hata Simba na Yanga waliwahi kuichagua Arusha kwaajili ya maandalizi ya mechi kubwakubwa.

Na walipendelea zaidi kutumia uwanja wa Ilboru Secondary.
 
Kwa nini wasingekaa huko huko Singida, mbona mazuri tu?

Hivi wana mpango wa kuzipeleka timu za kombe la shirikisho huko Singida au mpango ni upi?
 
Back
Top Bottom