figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Si jamaa.Kuna mjamaa kutoka Singida alisema tusiingilie privacy za watu za chumbani.
Hahahah tundukuna mjamaa kutoka.singida alisema tusiingilie privacy za watu za chumbani.
Ooh sawa mkuu, basi kazi iendeleeSi jamaa.
Katiba ndio inasema hivyo.
Mi simoooHahahah tundu
USSR
Sio jamaa, Katiba ndo inasema hivyo.kuna mjamaa kutoka.singida alisema tusiingilie privacy za watu za chumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masikini siku zote huwa hana Choices.
Na huo ni Moshi tu, bado kidogo Moto utawaka.
Mwanaume, hakikisha unailinda Familia yako. hio pekee ndio itasaidia...
Nimejua hilo sasa hivi.Sio jamaa, Katiba ndo inasema hivyo.
halafu kuna watu humu wanafurahi kusikia hivoNimejua hilo sasa hivi
Anaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, official rangi yao ni ipi? Na official bendera yao ni ipi? Maana sasa kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao, na nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia kanisani na kwenye interview za serikali, na hata niliyagawa kwa kuhofia kutangaza ajenda za watu.
Umeamua kabisa kujitokeza hadharani,Kumekuchaaaaaaah
[emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji626][emoji626]
Inapepea hapo Makiunguu. Hayaa wapingaji uchwaraaa tokeni kupinga au mkashushe bendera pale, km kweli mko serious.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtabaki kulia kwaa Keyboard, na badooo mnavojifanyaa kupiga kelelee, ndo na wao wanazidi kuwaonesha hadharani.
Mwenye nguvu ndo atajulikana sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halllah [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
PEACE [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
4 life forever [emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380][emoji2380]
sijuzi zipo ngapi aisee,ila singida asili yao ni marangirangi refer alizeti(joke)Bendera yenye rangi nyingi.. sijui zipo ngapi.