Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Masikini hospitali ya watu, misaada kwenye nchi masikini ni shida tupu, hiyo ni bendera tofauti kabisa, mbumbumbu wa bongo wamerukia tu mada na kuanza kushambulia. Hiyo ni bendera ya amani inatumika toka 1961, ilianza kutumika italia.