Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Sasa si upside down tu, rangi ya peace ni whiteUwe unauliza mkuu. Hiyo siyo bendera ya LGBTQA+ bali ni bendera ya PEACE (PACE)
View attachment 2537545
Waislam hawahawa !!?Wakati wa OSMAN BEY sidhani kama wangebaki mashoga hapa duniani,,, dunia ingelikua sehemu salama, hata huyo aliesimamisha flag hiyo angejutia alichokifanya
Mama atoe tamko haraka, na kama atalikalia kimya basi waislamu na wasio waislamu tuandamane kupiga vita huu uchafu usiompendeza Mwenye enzi Mungu
Bendera ya Peace yenye raibow colors ilishaanza kutumika tangu 1913 huko. Wakati gays and lesbians wenyewe wakaja kuanza kuitumia mwaka 1979.Sasa si upside down tu, rangi ya peace ni white
[emoji2380] zipo sita [emoji304]Bendera yenye rangi nyingi.. sijui zipo ngapi.
Waislam hawahawa !!?
Hii wamepeperusha wakiwa wanajua wazi inasupport ushoga. Bila shaka wamiliki wa hospitali hii ni members wa gay ajendaHospitali ya Makiungu yapeperusha bendera inayodaiwa ni LGBTIQA+.
Je, ni mwongozo wa Serikali kufanya hivyo? Kwanini waziri wa afya kakaa kimya?
Je, ni Mashariti ya kujengewa Hospital?
Nini maoni yako msomaji.
View attachment 2537492
🚮Usinichosheee wee mxxxieeeew
MPUMBAVU WEWE. HII HOSPITAL NI YA TUNDU? ONDOA UJINGA WAKO HAPA BADALA YA KUJADILI ISSUE ILIYO MEZANI UNAJADILI WATUHahahah tundu
USSR
Sitaki kabisa kuhudumiwa na watu wenye mentality ya homosexuality.Kwan ukitibiwa hapo ndo automatically unakua gay?
Ni km walivyomtega Papa Francis.Huyo ni mwanasheria anajua alichokuwa anakifanya usikute wanemtega tu hapo angejibu tofauti tusikia mengine sasa hivi!
Alichokiongea Lisu wanaelewa wenye akili tu siyo mtu kama wewekuna mjamaa kutoka.singida alisema tusiingilie privacy za watu za chumbani.
Kwendraaaaaaah[emoji706]
Hiyoanaye elewa vizuri kuhusu hao LGBTIQA anieleweshe vizuri nielewe, offical rangi yao ni ipi?
na offical bendera yao ni ipi?
Maana sahivi kila kitu cha rangirangi kinahusishwa na hao wapuuzi,
nilikuwa na mashati yangu ya batiki ya kutimbia church na kwenye interview za sirikali na yenyewe nimeyagawa kwa kuhofia kutangaza agenda za watu
🚮Kwendraaaaaaah
Au hutaki kuniunganisha nao rafiki zako lesbian???Mabwakuuuuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu anarudi,sema anahitaji ushauri nasaha kwanza afu umri wake bado mdogo.Ni mdogo wangu huyu,nitamsaidia msomiHv uncle cocastic akibakwa na pisi kali ya kitanga ikafinyia kwa ndan hatuwez kumrudisha huyu mwamba kwenye chama mkuu?,