mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,309
- 4,798
Wanafunzi hao wamemuomba Mbunge huyo kurudi tena Bungeni kutokana na namna ambavyo anajitolea kwa jamii.
Mhe kishoa alitoa taulo hizo za kike katika mkutano alioufanya February 16,2025 Katika kata ya Nkalakala ikiwa na lengo kuwasalimia na kutatua kero za wananchi.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Pia soma
- Singida: Mbunge Jesca Kishoa anyemelea ubunge Mkalama, avaa sare za CCM na kutoa milioni 6. Amsifia Rais Samia
- Mbunge wa Viti Maalumu CCM Jesca Kishoa: Kuna kiongozi alinishauri nisisaidie wananchi, alitaka nihonge wajumbe ili nishinde Uchaguzi
- Mapokezi ya Jesca Kishoa kwa wananchi Kata ya Nkalakala akiwa na vazi la kijani na kusindikizwa na nyimbo za CCM
- Aliyekuwa mwanachana wa CHADEMA Mbunge Jesca Kishoa aomba 2025 itolewe Fomu 1 tu ya Urais kwa Samia Suluhu Hassan