Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Ni sheria ipi hiyo, unaweza kuweka refference hapa au hata kuichambua tu kwauktadha unaoeleweka.Hakupaswa kurudi ndani
Ach t mkuu mapumba matup yaliyoandkwaKumbe wewe umesoma bandiko lote, mie nimeishia robo tu [emoji23]
Kwani ni kosa kurudisha mpira nyuma??Kwenye nidhani namkubali 100% na km angekua refa mwingine wangepigwa redi wachezaji Kwa walichomfanyia but he was very cool,Singida kunakipindi wanaenda shambulia it’s 1vs 3 lkn mpira anarudisha nyuma ‘Gadiel huyo’
😂Ach t mkuu mapumba matup yaliyoandkwa
Kwambeleko ile ungesemaj sassingida wamezingua wenyewe kwa kupoteza muda
ndio maana refa ameongeza dakika zake yaani hiyo ndio inakuwa fundisho chezeni mpira ili kuondoa lawama kwa refa
Ni sheria ipi hiyo, unaweza kuweka refference hapa au hata kuichambua tu kwauktadha unaoeleweka.
Yaani mpira aliupiga saido, ukaenda nje, kabla haujatua kipa akauvutia ndani . Hiyo kona inakuaje hapo mkuu??
Wala sio shida zetu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mengine hayatuhusu[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uliangalia mechi ya Belozdad na Yanga?
Kama haujaingalia itafute uiangalie ndiyo utajua mpira siyo kama unavyofikiria.
Pamoja na Yanga kuongoza Ball Possession kipindi cha kwanza na cha pili na tena walipiga mpira haswaaa ila walipigwa goli 3-0 bila hata goli moja la kufutia machozi hawakupata[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Chomoa mwiko huo ndio source ya maumivu yakoKolo Unaweweseka sana! Ungejikita zaidi kwenye kushauri makolo wenzio. Kuhusu maamuzi ya refa, ni taira pekee ndiye anaweza kukubaliana na ujinga ule.
Kipa mwenye akili timamu hawezi hangaika kwenda kudaka mpira ambao umetoka wakati yeye ndie mwenye advantage anaongoza goli na dakika zimeisha....Mpira uki toka nje hata ukidakwa bado haibadili maana
Siku zote timu ikiongoza inatabia ya kupoteza muda, jiulize kwanini kipa alienda kudakia nje hakuuacha mpira uende ili muda upoteeKipa kadakia mpira nje inakuje kona au mimi ndio sija elewa
Mkuu HV kipa kwa nini alienda kuudaka ule mpira ilihali ulikua umetoka?Ni sheria ipi hiyo, unaweza kuweka refference hapa au hata kuichambua tu kwauktadha unaoeleweka.
Yaani mpira aliupiga saido, ukaenda nje, kabla haujatua kipa akauvutia ndani . Hiyo kona inakuaje hapo mkuu??
Kwa kesi ya jana kuna wanaosema mpira uliguswa ndiomaana kipa akaufata kuudakia nje ili isiwe kona yaani aonekane kaudakia ndani, wengine wanasema kaudakia ndani akatoka nao hadi nje. Sasa sijui lipi ni lipi. Ila kama haukuguswa kipa hakuwa na sababu ya kuudakaNaomba msaada wa kuelimishwa. Kipa akidakia nje hali ya kuwa mpira haukuguswa na mchezaji wa upande wake inakuwaje?
Umenena vema mwanaYanga. Wewe ni analyst wa ukweli sio chawa wa JangwamiNiseme kweli SSC bado inasafari ndefu.
Haiwezi ule mpira wa kukimbizana dakika 90 bila kuchoka, mpira wa SSC ni slow na sio mpira wa kulazimisha ushindi.
Bado nina mashaka na sajili zao, huyu Sarr ambaye ni Rasta ni kweli alicheza against Ronaldo au ndio sajili za promo kwa SSC.
Yule mchezaji aliyetoa pasi na adui kushinda goli shida ni umakini au ujinga.
Nakumbuka SAMATA alitimuliwa EPL’sababu mabosi zake hawakuwa na muda wa kumsubiri mtu awe mzuri au over time , tumekuajiri tunakulipa, leta matokeo, full stop.
Bado reform inahitajika SSC . Mpira wao sio mpira wa ushindani, bado sijajua shida ipo wapi SINBA? inawezekana Simba inahitaji pia mwanasaikolojia wa kuamsha morali ya wachezaji, I guess
Anyway , wachezaji wa Singida wajifunze NIDHAM ya mpira na hii ni shida snaa ndio maana wachezaji wetu wa ndani hawafiki mbali. Nyoso alikuwa mzuri snaa , where is he now ? DISCIPLINE NI MANDATORY kwenye any career development. Vijana msisahau hilo, ukitaka kumjua mchawi wako, nenda kwenye kioo.
Kuna yule alitaka kumpiga mwamuzi, hivi mtu kama huyu ameingiaje LIGI KUU?
Ameingiaje, mmmh
, huyu ni mtu wa kucheza mpira wa mchangani sio professional football, ni kijana wa hovyo na hopeless…. Hafik mbali kimpira.
Mpira ni kazi na inahitaji character development na reputation.
Leo hii Samata angekuwa anapiga waamuzi unadhan angeitwa tena huko Genk , vijana tuwe serious na kazi, kuna Camera, records , why would you do such a thing , stupid as stupid does.
Ni Kama wamefunga Goli kwa kubahatisha, why upoteze muda makusudi kabisa, dakika zimeongezwa that means hata nyie mnayo chance ya kuongeza goli, kitendo cha kupoteza muda ni kutojiamini na kukosa nidham.
Alichofanya refa ni sahih, and he was warning [emoji3544] them all along , kwamba acheni huo ujinga but hawakusikia
Na ile ni kona halali, waache kudhan wameonewa, wangepambana goli lisiingie sio kuleta excuses……. Goli la kimpira kabisa
kipa kaenda kudakia mpira nje then anarudi ndani, alitakiwa kuuacha. KONA NI HALALI NA GOLI NI HALALI
And still , Singida alikuwa na chance ya kuitoa SSC kwa penalt , mbona wameshindwa, hata huyo aliyetaka kumpiga Mwamuzi amekosa penalt …….. kiazi kanisa.
Wakati mwingine tuheshimu waamuzi, tusiwe na majibu yetu.
Mpira unaisha hadi filimbi ya mwisho na sio kujiangusha kama waarabu.
SSC mnayokazi ya ku reform timu yenu, ila Kombe linabaki Zanzibar.
Nishachomoa, sasa nimekuchomekea wewe, kila la kheri.Chomoa mwiko huo ndio source ya maumivu yako
Umeongea Mambo mazuri Sana lakini umeshindwa kuficha mapenzi Kwa Simba. Kutoona madhaifu ya refa Jana na kusema alichezesha vizuri ni upofu.Niseme kweli SSC bado inasafari ndefu.
Haiwezi ule mpira wa kukimbizana dakika 90 bila kuchoka, mpira wa SSC ni slow na sio mpira wa kulazimisha ushindi.
Bado nina mashaka na sajili zao, huyu Sarr ambaye ni Rasta ni kweli alicheza against Ronaldo au ndio sajili za promo kwa SSC.
Yule mchezaji aliyetoa pasi na adui kushinda goli shida ni umakini au ujinga.
Nakumbuka SAMATA alitimuliwa EPL’sababu mabosi zake hawakuwa na muda wa kumsubiri mtu awe mzuri au over time , tumekuajiri tunakulipa, leta matokeo, full stop.
Bado reform inahitajika SSC . Mpira wao sio mpira wa ushindani, bado sijajua shida ipo wapi SINBA? inawezekana Simba inahitaji pia mwanasaikolojia wa kuamsha morali ya wachezaji, I guess
Anyway , wachezaji wa Singida wajifunze NIDHAM ya mpira na hii ni shida snaa ndio maana wachezaji wetu wa ndani hawafiki mbali. Nyoso alikuwa mzuri snaa , where is he now ? DISCIPLINE NI MANDATORY kwenye any career development. Vijana msisahau hilo, ukitaka kumjua mchawi wako, nenda kwenye kioo.
Kuna yule alitaka kumpiga mwamuzi, hivi mtu kama huyu ameingiaje LIGI KUU?
Ameingiaje, mmmh
, huyu ni mtu wa kucheza mpira wa mchangani sio professional football, ni kijana wa hovyo na hopeless…. Hafik mbali kimpira.
Mpira ni kazi na inahitaji character development na reputation.
Leo hii Samata angekuwa anapiga waamuzi unadhan angeitwa tena huko Genk , vijana tuwe serious na kazi, kuna Camera, records , why would you do such a thing , stupid as stupid does.
Ni Kama wamefunga Goli kwa kubahatisha, why upoteze muda makusudi kabisa, dakika zimeongezwa that means hata nyie mnayo chance ya kuongeza goli, kitendo cha kupoteza muda ni kutojiamini na kukosa nidham.
Alichofanya refa ni sahih, and he was warning [emoji3544] them all along , kwamba acheni huo ujinga but hawakusikia
Na ile ni kona halali, waache kudhan wameonewa, wangepambana goli lisiingie sio kuleta excuses……. Goli la kimpira kabisa
kipa kaenda kudakia mpira nje then anarudi ndani, alitakiwa kuuacha. KONA NI HALALI NA GOLI NI HALALI
And still , Singida alikuwa na chance ya kuitoa SSC kwa penalt , mbona wameshindwa, hata huyo aliyetaka kumpiga Mwamuzi amekosa penalt …….. kiazi kanisa.
Wakati mwingine tuheshimu waamuzi, tusiwe na majibu yetu.
Mpira unaisha hadi filimbi ya mwisho na sio kujiangusha kama waarabu.
SSC mnayokazi ya ku reform timu yenu, ila Kombe linabaki Zanzibar.