Singida Out, iwe fundisho siku nyingine

Acha kujieleza sana na kujisahaulisha kikubwa mpen refa fungu lake na kagere msiwatose hii kawaida yenh
 
Naomba msaada wa kuelimishwa. Kipa akidakia nje hali ya kuwa mpira haukuguswa na mchezaji wa upande wake inakuwaje?
Mpira uliguswa na mchezaji wake wakati Saidoo anapiga ule mpira! Ndio maana kipa aliuwahi ili usitoke nje ila tiyali akawa amechelewa na ikawa kona!
 
Nishachomoa, sasa nimekuchomekea wewe, kila la kheri.
[emoji23][emoji23]bado unagugumia maumivu kabisa,hiko kitu bado kipo pambana uweze,ukijiona huumii ujue ushafanikiwa ,sawa mwikonyuma?
 
Ujinga wake wa kwenda kudaka mpira uliotoka ulimfanya refarii ali misinterprete
Hapo kosa la nani sasa aliekosea kutafsiri au aliefanya kaziilivyotakiwa??.
Mnalalamika kupoteza muda, kafanya jambo la kusave muda mnamwadhibu.
 
Kipa mwenye akili timamu hawezi hangaika kwenda kudaka mpira ambao umetoka wakati yeye ndie mwenye advantage anaongoza goli na dakika zimeisha....

Ningependa kujua kwa nini kipa alienda kudaka mpira nje?
Ndo hapo, yule kipa alikuwa bingwa wa kupoteza mda halafu akimbilie kuudaka nje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipaswa kuwa ndan
Ila ule mpira ni utata mno, kipa aliudaka halafu akageuka nao nje.

But pia kisheria sijui kama imefutwa kutokana na VAR ila sheria ilikuwa kipa akidaka mpira kwenye mstari wa goli halafu akageukia golini mpira unawekwa kati. Ila yule kipa jana kadaka ile cross akageukia nao nje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta uzi tunza akiba ya maneno tena weka kumbukumbu yako vizuri yule ni SARR...
 
Kipa mwenye akili timamu hawezi hangaika kwenda kudaka mpira ambao umetoka wakati yeye ndie mwenye advantage anaongoza goli na dakika zimeisha....

Ningependa kujua kwa nini kipa alienda kudaka mpira nje?
Kipa hafundishwi kuacha mpira uano elekea golini kwake hata awe anajua umetoka au ni offside sababu unaweza achaia muamuzi aka amua vingine ndio maana hua unaona makipa hata mpira unao toka nje lazima ajiridhishe
 
Siku zote timu ikiongoza inatabia ya kupoteza muda, jiulize kwanini kipa alienda kudakia nje hakuuacha mpira uende ili muda upotee
Kamati imesema haikua kona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…