Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu,
Huu uchaguzi ni balaa!
======
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamtafuta Joseph Shila, Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mitunduruni, Wilaya ya Singida kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kisu kwenye bega la kushoto Hamisi Nkua, (52) Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Singida.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tukio hilo linadaiwa kutokea Novemba 27,2024 majira ya saa 8:00 mchana katika eneo la uwanja wa maonesho Mandewa baada ya kutokea mzozo baina ya wanachama wa CCM na CHADEMA. Majeruhi alipata matibabu hospitali na kuruhusiwa.
Imetolewa na;
Amon D. Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Singida.
Huu uchaguzi ni balaa!
======
TAARIFA KWA UMMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linamtafuta Joseph Shila, Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Mitunduruni, Wilaya ya Singida kwa tuhuma za kumjeruhi kwa kisu kwenye bega la kushoto Hamisi Nkua, (52) Katibu wa CHADEMA Wilaya ya Singida.
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Tukio hilo linadaiwa kutokea Novemba 27,2024 majira ya saa 8:00 mchana katika eneo la uwanja wa maonesho Mandewa baada ya kutokea mzozo baina ya wanachama wa CCM na CHADEMA. Majeruhi alipata matibabu hospitali na kuruhusiwa.
Imetolewa na;
Amon D. Kakwale - SACP
Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Singida.