Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Unakunya ndani ukifikiri harmful haitasikika kwa wapita njia???Wahuni kama hao ndio wana kichafua chama ni wakuchukiliwa hatua kali za kisheria!
Kuna ujuha zaidi ya huu uliofanyika kwenye huu uchaguzi?
Yaani watu wanachagua wenyeviti wa vijiji serikali inapeleka washawasha??