Singida united, African lyon, kilichomfanya MO akazitema hizi timu ni nini?

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Ninaamini wengi mnakumbuka huyu bwana aliwahi kujaribu kumiliki hizi timu, lakini mpaka Leo nafikiri kilichomfanya akazitema kwa asilimia kubwa ni kutompa faida aliyokuwa anaitaka na aliona fursa iko simba.

Sasa anasema na hiyo simba inampa hasara tu, nilitegemea nayo aiteme Kama alivyofanya kwa African Lyon na Singida united, lakini amekuwa bingwa wa kulalamika wakati huo huo hataki kuutema mnofu aliokwishaweka mdomoni ambao anadai Una mchanga!!!!
 
Usicheze na Mfanyabiashara. Anakumaliza huku anakuchekea
 
Kwenye hizo timu wakicheza na timu wenzio mashabiki waliokuwa wanaingia uwanjani ni Boss Mo na familia yake ndio maana akahamua kuachana nazo kwa nyakati tofauti sababu zilikuea hazina mashabiki.
 
Ubingwa wa makando kando mnajisifu nao , mo anaposema anaingia hasara ujui kuna fungu jingine anatoa kwaajili ya mbinu chafu, mlipeni sasa iyo bil. 21 aliyowakopesha cijui mtailipa kwa stahili ipi na klabu haina ata thumuni

Unateseka ukiwa wapi?
 
Kashindwaje kuzitangaza na kupata mashabiki
Nalog off
 
Jamaa anamkakati wa kubadilisha majina ya Simba kaanza na Uwanja alitaka achomeke Simba Mo Sports Club wenye akili wakamshtukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…