Habarini wanajukwaa...
Takribani wiki ya pili sasa Tarura walikuja kutifua barabara kwa ajili ya matengenezo ya barabara zilizopo eneo la Sabasaba Manispaa ya Singida.
Kama wananchi hatupingani na shughuli za maendeleo zinazoletwa na Serikali ya mkoa shida ni kwamba wazee wa kazi walivyokuja kutufua barabara hawakutoa taarifa kuwa watakata na mabomba.
Tangu shughuli iyo.ifanyoke Septemba 19 2024 hawajarudi tena wala hatujui nini kinaendela. Kinachotutesa na kutuumiza ni kukosa maji kwa takriban wiki mbili sasa kwakuwa mabomba yote yamekatwa kwa jina la 'natengenezo ya barabara '
Tunaomba Mamlaka husika zitusaidie tupate huduma hii muhimu.
Pia soma ~ Mamlaka ya Maji Singida (SUWASA) mnatuumiza sana Wananchi, bili mnazoleta haziendani na uhalisia
Takribani wiki ya pili sasa Tarura walikuja kutifua barabara kwa ajili ya matengenezo ya barabara zilizopo eneo la Sabasaba Manispaa ya Singida.
Kama wananchi hatupingani na shughuli za maendeleo zinazoletwa na Serikali ya mkoa shida ni kwamba wazee wa kazi walivyokuja kutufua barabara hawakutoa taarifa kuwa watakata na mabomba.
Tangu shughuli iyo.ifanyoke Septemba 19 2024 hawajarudi tena wala hatujui nini kinaendela. Kinachotutesa na kutuumiza ni kukosa maji kwa takriban wiki mbili sasa kwakuwa mabomba yote yamekatwa kwa jina la 'natengenezo ya barabara '
Tunaomba Mamlaka husika zitusaidie tupate huduma hii muhimu.