Bado Hujasema
Member
- Dec 1, 2024
- 12
- 14
Wakazi wa Mtaa wa Ginery maeneo ya Singida Sekondari tunaomba tusaidiwe barabara. Hali ni mbaya sana hasa msimu huu wa mvua. Watoto wanaenda shule kwa tabu maji na matope ya kutosha.
Wanakwenda na School bus zinaishia mbali kwasababu ya ubovu wa barabara. Ahadi zimekuwa nyingi bila utekelezaji.
Mbunge wetu Mussa Sima tunaomba kabla hujamaliza Ubunge tutengenezee barabara angalau ipitike kidogo.
Pia soma ~ Singida: Barabara ya Unyakumi yaanza kurekebishwa baada ya malalamiko kuwa inawatesa watumiaji
Wanakwenda na School bus zinaishia mbali kwasababu ya ubovu wa barabara. Ahadi zimekuwa nyingi bila utekelezaji.
Mbunge wetu Mussa Sima tunaomba kabla hujamaliza Ubunge tutengenezee barabara angalau ipitike kidogo.
Pia soma ~ Singida: Barabara ya Unyakumi yaanza kurekebishwa baada ya malalamiko kuwa inawatesa watumiaji