TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Uzi tayariNi muda sasa tuseme hapana hii sio fair, ni aibu sana ligi 5 kwa ubora Africa kuwa na Waamuzi wa ovyo namna hii.
Bodi ya ligi na chama cha waamuzi kaeni chini mujitafakari hao muowapa mamlaka ya kuamua na kusimamia sheria za mpira wa miguu wanakidhi vigezo vya kutafsiri sheria?
Hili ni goli halali kabisa kabisa ila mwamuzi wa pembeni ameamua kulikataa.
View attachment 2775716