Singida Wamenyimwa Goli halali na Mwamuzi wa Pembei

Uzi tayari
 
Ndio maana Huwa siangaliagi hayo mamechi yenu maana mara nyingi matokeo yanapangwa kusaidia Simba na Yanga
 
Wanagungwa singida mnaumia utopolo nyie vipi aiseee[emoji23]
 
Kwani haya Yana muda basi we subilia wameanza hii michezo wengine watamaliza na pasiwepo na lawama yoyote, Kila timu itashinda kwa namna inavyojua Wala msilalamike, marefa waendelee na hii mifumo yao tuone kitachotokea mbele ya safari
 
Marefa wa kibongo wanabahati mbaya hawajui izi mechi kubwa zinaonekana mbali na ndizo caf wanazitumia kama kiboko cha kuwachapia.
Teknolojia ya computer inayo husisha Libero kupitia Azam TV ina waacha marefawetu uchi.
Kwa hali inavyokwenda wanaweza kupigwa marufuku kuchambua magoli maana wenye mipango wana aibika sana.
 
Achana nao...kubebwabebwa FC ..

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Nadhani uko Sawa kabisa. Wanadhani wamejificha kumbe wanaonekana. Hapa tusubirie barua ya Chama cha Waamuzi lakini timu imeshaumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…