mi jibu ni ndio kuna lingine?smiley hii thread hairuhusiwi kusema "unanitega". . "napita" na ndugu zao, we funguka tu.
Lizzy ningefurahi kweli nikisia wewe uko upande gani katika hili... (if you don't mind)
Unanitega..................................
Dah!! Watu wako very sensitive kweli...lol..mbona hamjajibu mada husika...halafu Smile tokea lini watu wakajibu tu NDIO.. i guess you're more clever than just saying..NDIO....I mean weka explanation kidogo maana ukisema tu NDIO...Je kama kuna mtu anakusubiria atajuaje?...Lolmi jibu ni ndio kuna lingine?
kama nini sijaweka kaka?dah!! Watu wako very sensitive kweli...lol..mbona hamjajibu mada husika...halafu smile tokea lini watu wakajibu tu ndio.. i guess you're more clever than just saying..ndio....i mean weka explanation kidogo maana ukisema tu ndio...je kama kuna mtu anakusubiria atajuaje?...lol
Lizzy - Inaonekana upo "Njia Panda"!
Kama walio kwenye ndoa wangepewa "second chance", wengi wao wangechagua kuoa/kuolewa na mtu mwingine tofauti!
Kama ilivyoandikwa ..." Marriage happens by CHANCE NOT CHOICE ...."!
Dah!! Watu wako very sensitive kweli...lol..mbona hamjajibu mada husika...halafu Smile tokea lini watu wakajibu tu NDIO.. i guess you're more clever than just saying..NDIO....I mean weka explanation kidogo maana ukisema tu NDIO...Je kama kuna mtu anakusubiria atajuaje?...Lol
teh teh teh unadhani tf anataka kuja anga zangu eeeh? Siwezi kukufanyia ivo najua ilo ndo last hope kwako nimekuachia mi napendwa na wengipotezea!!!
Una mpango wa kuolewa?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka utashawishika/penda kuingia ndoani?
Cheki juu hapo tuko pamoja hapo?kama nini sijaweka kaka?
For the benefit of others could you tells us what were the qualities which took you by storm and made you say "I DO" to him...lolPA.. i would be really worried kama umesahau kua ni married woman....... Hapa ilitakiwa nisiingie kabisa, ila my curiosity could not over come my not posting kujua yeye Lizzy yupo upande gani....
For the benefit of others could you tells us what were the qualities which took you by storm and made you say "I DO" to him...lol