Single LADIES and LADS. . .

Single LADIES and LADS. . .

Lizzy this is what i have to say for the moment...It should be equal partnership, Basically what counts at the end of the day is someone you get along with most of the time and that is for both sexes. Initial attraction may be looks but what keeps people coming back is personality. Don't try being something you're not, remember you'd to keep it up for the rest of you life

Fynest don't make this about me bana. Zingatia vigezo na masharti ya mtihani, though I do agree with you.
 
cheki juu hapo tuko pamoja hapo?
mmmh vigezo
1.awe na miaka 30 na kuendelea
2.watoto max 2 maana nimeona vijana wengi wana watoto sana siku hz
3.awe mkristo-lutheranor rc walokole sitaki au sda
4.awe na maisha ya kueleweka kazi biashara yaani awe na source ya income iwe low,medium or high yeyote
5.awe na mvuto bana
6.awe na upendo wa kufa na kuoza juu yangu anichukulie nilivo sipendi kuongea saana sipendi ugomvi wala kuonewa
7.simu yake ni yangu na yangu ni yake niiwe free na simu yake na asimaind
8.awe na busara,mpole asiwe anaongea sana bila sababu labda awe ananipa story za kunifurahisha sipendi makelele
9.awe na akili ya maisha i mean aweze kusimama kama baba kwenye familia awe ni mtu mwenye uwezo wa kutoa maamuzi hata kama ni magumu-asiwe mwoga
10-awe na uwezo wa kuniprotect na mambo yote,maadui,magonjwa
11 awe ma best friend the one i can count on evertything sio nakuja kukopa chakula ofsin wakati nimefulia kwa bahati mbayawhile nina mume ndani nina mume ndani
12 tushee kila kitu kwa shida na raha
13 asipende sex saaana mi kila siku siwezi besides siolewi kwa ajili iyo tu at lesat mara 2/3 kwa wk especially wkend
14 asiwe mlevi,mvuta sigara au bangi
15 asiwe mshirikina au mchawi au wa jamii iyo
16 awe mchaga aisee

17 badae nitakupm
 
Jibu: ndio
Sababu: HE IS EVERY WOMAN'S DREAM MAN
 
mmmh vigezo
1.awe na miaka 30 na kuendelea
2.watoto max 2 maana nimeona vijana wengi wana watoto sana siku hz
3.awe mkristo-lutheranor rc walokole sitaki au sda
4.awe na maisha ya kueleweka kazi biashara yaani awe na source ya income iwe low,medium or high yeyote
5.awe na mvuto bana
6.awe na upendo wa kufa na kuoza juu yangu anichukulie nilivo sipendi kuongea saana sipendi ugomvi wala kuonewa
7.simu yake ni yangu na yangu ni yake niiwe free na simu yake na asimaind
8.awe na busara,mpole asiwe anaongea sana bila sababu labda awe ananipa story za kunifurahisha sipendi makelele
9.awe na akili ya maisha i mean aweze kusimama kama baba kwenye familia awe ni mtu mwenye uwezo wa kutoa maamuzi hata kama ni magumu-asiwe mwoga
10-awe na uwezo wa kuniprotect na mambo yote,maadui,magonjwa
11 awe ma best friend the one i can count on evertything sio nakuja kukopa chakula ofsin wakati nimefulia kwa bahati mbayawhile nina mume ndani nina mume ndani
12 tushee kila kitu kwa shida na raha
13 asipende sex saaana mi kila siku siwezi besides siolewi kwa ajili iyo tu at lesat mara 2/3 kwa wk especially wkend
14 badae nitakupm
Naam...hivi ndivyo inavyotakiwa kufunguka...:eyebrows:....
 
Jibu: ndio
Sababu: HE IS EVERY WOMAN'S DREAM MAN

Bht tafadhali fafanua hiyo ndoto ya kila mwanamke. . . . ukitaja vigezo vinavyokufanya umwone hivyo ndo tutajua kama ni "every womans dream man" kweli au ni "some
women's dream man."
 
Hiyo "bado nipo nipo" ni permanent?

Its not permanent if a fine lady shows up and the time is right am jumping on board.The thing is nowadays fine ladies are like water in desertland..
 
mmmh vigezo
1.awe na miaka 30 na kuendelea
2.watoto max 2 maana nimeona vijana wengi wana watoto sana siku hz
3.awe mkristo-lutheranor rc walokole sitaki au sda
4.awe na maisha ya kueleweka kazi biashara yaani awe na source ya income iwe low,medium or high yeyote
5.awe na mvuto bana
6.awe na upendo wa kufa na kuoza juu yangu anichukulie nilivo sipendi kuongea saana sipendi ugomvi wala kuonewa
7.simu yake ni yangu na yangu ni yake niiwe free na simu yake na asimaind
8.awe na busara,mpole asiwe anaongea sana bila sababu labda awe ananipa story za kunifurahisha sipendi makelele
9.awe na akili ya maisha i mean aweze kusimama kama baba kwenye familia awe ni mtu mwenye uwezo wa kutoa maamuzi hata kama ni magumu-asiwe mwoga
10-awe na uwezo wa kuniprotect na mambo yote,maadui,magonjwa
11 awe ma best friend the one i can count on evertything sio nakuja kukopa chakula ofsin wakati nimefulia kwa bahati mbayawhile nina mume ndani nina mume ndani
12 tushee kila kitu kwa shida na raha
13 asipende sex saaana mi kila siku siwezi besides siolewi kwa ajili iyo tu at lesat mara 2/3 kwa wk especially wkend
14 badae nitakupm

Sasa Smiley muda wote mbona hukufunguka?

Nwy nimekusoma, vigezo vyako ni very reasonable. . . hopefully utampata muda ukifika.
 
Una mpango wa kuoa/kuolewa?

Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI (usichukulie neno masharti kwa uzito wake, namaanisha vitu ambavyo ni muhimu kuzingatiwa) gani ambayo yakizingatiwa unaamini ndoa yako itadumu?
Mi nilishaoa, lakini tabia kubwa niliyokua naiangalia kutoka kwa niliyemuoa ni ule ustahimilivu wake kuwa nami pamoja na tabia yangu ya kupenda kuendesha mambo kwa "mfumo dume".
 
Its not permanent if a fine lady shows up and the time is right am jumping on board.The thing is nowadays fine ladies are like water in desertland..
Glad to hear that.

So are you a fine lad?
 
Mi nilishao, lakini tabia kubwa niliyokua naiangalia kutoka kwa niliyemuoa ule usatahimilivu wake kuwa nami pamoja na tabia yangu ya kupenda kuendesha mambo kwa "mfumo dume".

Kwahiyo alivyoweza kustahimili mfumo dume ulio nao ukaona 'huyu ananifaa' ???!
 
Fynest don't make this about me bana. Zingatia vigezo na masharti ya mtihani, though I do agree with you.
Hahaha!!! Haya mama okay naendelea sasa nazingatia MASHARTI na VIGEZO

Genuine Goodness....Is something drawn from the heart, the soul of a person, the authentic goodness is shown in actions, more than pretty words when we live a life of authenticity, our spirits soar and we give flight to those around[FONT=arial, helvetica, clean, sans-serif].
[/FONT]
 
Hahaha!!! Haya mama okay naendelea sasa nazingatia MASHARTI na VIGEZO

Genuine Goodness....Is something drawn from the heart, the soul of a person, the authentic goodness is shown in actions, more than pretty words when we live a life of authenticity, our spirits soar and we give flight to those around[FONT=arial, helvetica, clean, sans-serif].
[/FONT]

And that's about it. . . . . ?
 
Glad to hear that.

So are you a fine lad?

Yes i am a fine lad..i managed to stay single until University,then a certain 'wannabe good girl' showed up and screwed my clean sheet record. So now am waiting for the right one with no intentions of adding another notch to my belt.
 
me single youngman so kwenye thread ni opposite sex nipo mid 20's , so kwa sasa vigezo ni hivi kama nimekosea nisahisheni kaka na dada zangu labda nikifika 27
to 30 nitabadilika but i plan to get married at 27
1. awe mkristo lutheran, rc, any other not mlokole
2. awe mwanamke mwelewa, anaetambua kwenye maisha kuna time ya kulia, kucheka,kupanda na kushuka plus kusaza na kulala njaa
3.Awe na kipato chochote cha kueleweka au ambae hata kama hana sasa lakini mnaweza mkaanzisha kitu akasimamia
4. awe my best friend than my love ambae tutaangalia mpira pamoja, playing playstation games, dancing kwaito and other stuffs friends do
5.elimu atleast ya form 6 na upendo wa dhati uwepo
6. anilinde na maadui, magonjwa, na vitu vyote a woman anavyoweza kumlinda mumewe
7. sex nayo inahusika japo hata mara 4 kwa wiki
8. atleast awe muongeaji na mchangamfu maana mi siwezi kuongea so na yeye akiwa kama mimi tutachukiwa na watu tuna mapozi, so l wish yeye awe mtu wa stories hata tukienda au tukitembelewa na ndugu na marafiki wasiboreke maana mi napenda sana kukaa kimya as ndo style ya maisha niliokulia najua itanichukua muda kubadilika
9.awe anajipenda as mdada kupendeza bwana, na outing za kiana ziwepo as maisha mafupi sio mtu hela yote anataka kujenga tu, so kweny kipato lazima tugawe hela ya kusave, maendeleo, na ya kuspend in having fun as vacation muhimu hata kama ni za medium hotels mbugani na kwingineko, kupunguza stress
10. Awe na miaka between 20 to 25 kwa sasa,
 
Back
Top Bottom