Single LADIES and LADS. . .

Most of us have long given up even just the idea. The main issue is compatibility. If you can stand your partner's good and bad things, learn to forgive, respect each other and share at least 4 out of 10 common goals, then yes, you have a perfect r/ship. Then again it would be so boring not to have those arguments to fight over,coz believe me they make you know your partner even better. They also brings something new in a person and to the r/ship as well. Perfect r/ship.....I guess it all depends on your defination!
 
Mi sipo kwenye position ya kuchagua ila wakati nachagua nilizingatia hivi vigezo

1. Awe na mvuto umbo la wastani natural

2.Awe na good manners (sio umempakia kwenye gari anafunguo kioo anatupa barabarani maganda ya bazoka au chupa ya uhai) au analiona dust bin analiacha anatupa taka barabarani (akifanya hivyo tena kama first date bye bye)

3. Awe civilized ,Kwenye public asipende kuongea kwa nguvu kama ni wawili tunaongea basi aweke sauti chini (Sio unapokea simu kama unagombana, umekaa restaurant hadi meza ya kumi wanakusikia wewe, better aende kipembeni akaongee na simu yake, kama kwenye daladala ndio kabisa kama vipi asiipokee) (wapo walioshindwa huu mtihani nikawapiga chini) huwa sipendi unecessary attention.

4. Aweze ku mingle na watu wa aina tofauti

Hayo mambo ma 4 nilizingatia kuliko mengine kwakuwa yalikuwa yananipa taswira huyu mtu wa namna gani na nilifanikiwa :tongue:
 
Lizzy haya mbambo ya ndio au hapana kwenye ukoa au kuolewa mimi sipo kabisa, hebu mimi niambie hadithi ya zawadi imefikia wapi

Hahahaha mbona unanibania Ram?
Zawadi yupo kiasi, ngoja nikikamilisha sehemu inayofuata ntakushtua.
 

Asante Ed kwa kutukumbusha mambo ya msingi kabisa. Nakuombea umpate wakuzeeka nae. . . .
 
Swala la vigezo huwa hakunaga, binadamu wote wapo spontaneous unaweza kukuta sista du anasema ,"mimi mwanaume mmfupi sipendi hata kusikia" kesho ukamkuta amefunga ndoa na emolo.

Wapo watu wanaojua wanachotaka na ndicho wanachotafuta mpaka kupata, na wapo watu wasiojua wanachotaka wenyewe wanabadili mawazo kuendana na wakati bila kusahau tamaa na faida binafsi.
 
Jamani mi nashindwa kusema kitu maana mi nilishaoa miaka 7 iliyopita
Ndoa inaendeleaje?


Asante BJ. . . vigezo naona vimetulia.

Hahahahaha. . . . Ntakuombea mpenzi niambulie pilau la sherehe na wewe mume wa ukweli.
 
Ahsante Mkasika!!

Maubdumula hongera sana kwa kufanikiwa, mzeeke pamoja Mungu akiwajalia uhai.
 

kwa ujinga gani nlionao mpaka nolewe?????????????
 

...ni kujitwisha kabati la matatizo.
...:A S-coffee:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…