BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
16 awe mchaga aisee
17 badae nitakupm
umeona eeeh shirima mushi lema olomi masaweee inahuuu shosti kina mwene wafie mbali hukoasante shosty, hapo ndiyo kwenyewe..mekuz/mangiz wapo juu bwana asikwambie mtu!..
kumkabidhi mtu maisha yako yaliyobaki hapa duniani mara mda wa kufanya hivyo unapofika si jambo dogo.....kuna mambo mengi ya kuangalia....kwanza kwa mimi mwanaume lazima nijue je hili ni chaguo sahihi?..ameamua kwa dhati? au ameona wenzake wameingia huko nae akaingia? au ameshinikizwa? au umri umempita sasa ameona anaweza asiolewe ndo akaamua kuja na kunichagua mimi?
mawazao yake ni yapi? lazima awe na mawazo channya mwenye kujua kujenga hoja na kudadisi..lazima ajiamini, lazima apende kila mtu pasipo ubaguzi....
Lizzy, unajua mwili mmoja hauji kwa kusimama mbele ya padri/mchungaji au shehe.. mtumishi wa Mungu anapotamka ninyi ni mwili mmoja ule mwili huwa hauji mara moja pale...kuufikia mwili mmoja ni safari ndefu sana inayoanzia kwenye uchumba na hukamilishwa miaka mingi sana mkiwa ndani ya ndoa...
siku hizi kuna yale mahusiano yanaitwa ''cyber marriage'' ..we lizzy uko uko uliko na mimi niko huku niliko....mahusiano yotu yameunganishwa na mawasiano ya simu,internet,bbm,skype nk......hata tukikutana tunakutana kwa siku 1 au 2 then narudi baada ya mda tunaenda ndugu zangu wanakuja huko kwenu tunatoa mahali then sasa ndo tunaanza kuishi...hakika hapo tunaweza kuishi lakini kwa shida sana na inaweza kutuchukua mda mrefu kuwekana sawa..na ndio maana wengi hawaishi kulalamika na hatimae ndoa kuvunjika....hii idara ya ndoa ni pasua kichwa sana...ntarudi
Swala la vigezo huwa hakunaga, binadamu wote wapo spontaneous unaweza kukuta sista du anasema ,"mimi mwanaume mmfupi sipendi hata kusikia" kesho ukamkuta amefunga ndoa na emolo.
Do y'all live in realville or wonderland?
Why do you ask?
Why do you ask?
Ndoa inaendeleaje?Jamani mi nashindwa kusema kitu maana mi nilishaoa miaka 7 iliyopita
Ndiyo mamii, nina mpango wa kuolewa. Nina imani kubwa kuwa na familia ni jambo jema, hivyo inshallah Mola anijalie nipate mwenza yakinifu.
Kwakweli muda mwingine unaweza kuwa na vigezo usikutane navyo vyote ila si haba kuna vitakavyonivutia niweze funga pingu. Awe anajali kwao na kwetu, mpenda maendeleo, mcheshi, muwazi, mcha mungu(hata kama siyo mlokole) na kushirikishana mambo yote muhimu.
Ndoa inadumu kukiweko na upendo, heshima na uvumilivu..kuwasiliana kuwe msingi bora ili kuhakikisha tunaambiana yote muhimu mazuri na mabaya, kumpa kipaumbele mwenza yani nafasi ya mume/mke, kuwa marafiki zaidi tu ya mume/mke. Mume wangu atakuwa ni namba moja maana ndiye nitakae jenga nae familia na panapo majaliwa tuzeeke wote na kuzikana.
Miaka 30-39. Elimu iwepo na kazi awe nayo pia! maisha kusaidiana!
Ntakualika, tuombeane kheri Lizzy!
Una mpango wa kuoa/kuolewa?
Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI (usichukulie neno masharti kwa uzito wake, namaanisha vitu ambavyo ni muhimu kuzingatiwa) gani ambayo yakizingatiwa unaamini ndoa yako itadumu?
Ahsante Mkasika!!
Maubdumula hongera sana kwa kufanikiwa, mzeeke pamoja Mungu akiwajalia uhai.
Una mpango wa kuoa/kuolewa?
Kama jibu ni HAPANA . . kwanini?
Kama ni NDIO. . . je ni VIGEZO gani ambavyo vikifikiwa na mkaka/mdada utashawishika/penda kuingia ndoani?
Na ni MASHARTI (usichukulie neno masharti kwa uzito wake, namaanisha vitu ambavyo ni muhimu kuzingatiwa) gani ambayo yakizingatiwa unaamini ndoa yako itadumu?