Upo chuo mwaka wa ngapi, manake hii comment inaonyesha upo chuo mkuu. Unatafuta future kingono?Ukitaka haya mambo ya mahusiano yasikutese yatachukulie katika angle ya ngono zaidi sio future zaidi
Upo chuo mwaka wa ngapi, manake hii comment inaonyesha upo chuo mkuu. Unatafuta future kingono?
Yaani unahitaji kuoa unatafuta mke uwaze ngono kweli mkuu? Kweli tunatofautiana mkuu.Mkuu njoo chukua join instruction! Unaonekana umepangwa old Moshi au Moshi tech!
Concept yangu ilikua rahisi tu kwamba kwa mazingira ya saiv ukiwa serious sana utaumia kikubwa ukiwa kwenye mahusiano we waza ngono tu mawazo ya future achana nayo
Chizi Kama chizi😂🤣, machizi wakikutana ni team mirembe 🔥🔥🔥Watu wanakimbilia ndoa bila utayari wanajua kuna raha km za uchumba, inatakiwa kumshirikisha Mungu sana kwenye maamuzi lasivyo unajibebea furushi lako la misumari [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi pm yangu uli iona, au niendelee kulia🤣😂😂Nimeona mkuu, madini kama yote😍
Hebu toka hapa 😂Vipi pm yangu uli iona, au niendelee kulia🤣😂😂
Hujaona au ni jeuri😪🤣😂😂Hebu toka hapa 😂
Usinijaribu🚮Hujaona au ni jeuri😪🤣😂😂
Dah mtoto Kama una oga asali🤣🤣Usinijaribu🚮
🤣🤣🤣 niacheDah mtoto Kama una oga asali🤣🤣
Macho kama maboga ya tabora😂🤣🤣🤣🤣 niache
Mkopo si ulisema ntapata mubebez 😍😜Shukrani sana
naona nguvu inatumika😂Aaliyyah kudos to you, huwa una fikiri ndani na nje ya box🙏.
👉moja Kati ya Wanawake noma kiroho Safi😍😍🤗🤗