Single Maza kiboko ya Wavulana

Single Maza kiboko ya Wavulana

Etugrul Bey

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
6,514
Reaction score
15,247
Hizi ni baadhi ya kauli za wavulana juu ya single maza "ukioa single Maza ukae tayar kuchapiwa", "single Maza sio WA mtu mmoja",,, "single Maza ana wakwe pande mbili na mawifi pande mbili",,,"unaoa single Maza Una akili timamu kweli?"

Swali kwenu wavulana hao ambao sio single Maza mnao chapiwa kwenye ndoa zenu hawana mawifi pande mbili? Hawana wakwe pande mbili? Na Hadi mnachapiwa hivi nyie mnaakili kweli?

Sikilizeni nyie wavulana tofauti ya single Maza walio zalishwa na wake zenu walio zalishwa ndani ya ndoa zenu na wanaume wengine ni moja Tu, mawifi na wakwe WA single Maza wanajulikana tayar ila nyie WA kwenu hawajulikani bado, kwahiyo msishupalie Sana kauli zenu juu ya single Maza wakati nyie mnalea watoto ambao sio wenu!

Mfano mzuri ni Yule mchungaji na katibu,nadhani mmeona alioa mwanamke sio single Maza lkn watoto Kwa mwonekano wanaonekana sio WA mwenye mke,sijui mmenielewa vizuri hapo? Kwahiyo msiwa nyanyase masingle Maza coz hawa kupenda kuwa hivyo Ila ni mazingira Tu sometime Yana wafanya wajikute katika Hali hiyo.

Mnawasema vibaya Sana single Maza,je nyie Hamna wadogo zenu WA kike au dada zenu WA kike,je shangazi zenu au mama zenu wadogo? Mnapinga kabisa wasiolewe,ebu chukulia ndio mdogo wako au dada yako je ungependa aziniwe tu kila siku Bila kuolewa?

Kutwa kucha mnashabikia upumbavu tu dhidi ya single Maza, mapovu yanawatoka kisa mnawapiga Vita single Maza wa watu Tu tena saa nyingine nyie ndio sababu ya wao kuwa single Maza. Ebu acheni huo upuuzi mara moja, kuna wengine wamebakwa na wengine ni manyanyaso ya kijinsia halafu nyie mnaongea ujinga Tu dhidi Yao!

Kwenu wanaume unapo amua kumuoa single Maza basi hakikisha unapenda na watoto wake, hakuna mwanamke anayependa kuishi mbali na mtoto wake, huwa wana majonzi Sana baadhi ya wanawe wanaishi vizur halafu mwanae mwingine sijui yupo kwa mjomba huko au shangazi hata kula yake ni shida, halafu unategemea utapewa penzi zuri na mkeo wakati humpendi mwanae? Hayo mahaba ya kukupa wewe yatatokea wapi wakati unabagua wanawe?

Wanaume wenzangu mjitafakari sana na mfanye mkeo afurahie uwepo wa wanawe wote ndani ya familia moja, wanaume Mungu awape Maisha marefu.

Ni hayo Tu!
 
Picha ya mchungaji katibu mtoto na mama mchungaji
JamiiForums304995257.jpg


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mtuache wengine tushajikubali na usingle mama wetu na hatuna habari na ndoa na wala hatuzifikirii achilia mbali kuzitaka

Kikubwa kwetu ni afya , furaha na uwezo wa kutimiza mahitaji ya watoto wetu basi,

Kila mtu anaishi na kupewa kwa kile anachostahili

So sisi single mama tumewepa kile tunachostahili,haina haja ya kuumia kwa maneno wanayoongea waja ,wala kujishusha thamani na kufikia point ya kutamani au kujifananisha na hao wenzentu ambao si single mama ,walio kwenye ndoa zao na waume zao

Kila mtu anaishi kwa nafasi yake na hii ndo nafasi yetu

Tulishapewa watoto na ni wa kwetu na tushukuru kwa uwepo wao (amna kujuta eti kwanini ilitokea mimi nikawa single mama)

Kubakwa,mjane,kutalakiwa au kutelekezwa vyovyote vile tusianze kujutia mpaka tukajiona hatustahili kwenye jamii

Khaa ebu tuishini maisha yetu na watoto wetu ACHANENI NA HAWA WAJA WA MUNGU

Ndo ishakua sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kuwa kwenye hiyo hali siyo dhamira ya kila binti aliyeko uko
Wengi wamejikuta uko sababu wamezaa bado wadogo( wako masomoni ), wamezaa na waume za watu na kukimbiwa na walio wapa ujauzito ( kwenye hili sababu ni nyingi)

Siyo wote waliyoko kwenye hii hali ni wabaya na siyo wote ni wazuri pia
Sababu zinazofanya waogopwe ni nyingi pia mfano vijana wengi huwamini kwamba mtoto ameshatengeneza uhusiano au daraja la kuwakutanisha wazazi hivyo siyo rahisi wao kukubali kuishi na watu wa aina iyo

Mwisho niseme tuu lengo lisiwe kuwasema bali tuhimizane tusitengeneze ilo tabaka
Mabinti wahakikishe wanaingia sehemu sahihi
Na
Vijana wasikimbie majukumu
 
Mtuache wengine tushajikubali na usingle mama wetu na hatuna habari na ndoa na wala hatuzifikirii achilia mbali kuzitaka

Kikubwa kwetu ni afya , furaha na uwezo wa kutimiza mahitaji ya watoto wetu basi,

Kila mtu anaishi na kupewa kwa kile anachostahili

So sisi single mama tumewepa kile tunachostahili,haina haja ya kuumia kwa maneno wanayoongea waja ,wala kujishusha thamani na kufikia point ya kutamani au kujifananisha na hao wenzentu ambao si single mama ,walio kwenye ndoa zao na waume zao

Kila mtu anaishi kwa nafasi yake na hii ndo nafasi yetu

Tulishapewa watoto na ni wa kwetu na tushukuru kwa uwepo wao (amna kujuta eti kwanini ilitokea mimi nikawa single mama)

Kubakwa,mjane,kutalakiwa au kutelekezwa vyovyote vile tusianze kujutia mpaka tukajiona hatustahili kwenye jamii

Khaa ebu tuishini maisha yetu na watoto wetu ACHANENI NA HAWA WAJA WA MUNGU

Ndo ishakua sasa

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mashallah wallah nimefarijika Sana na Maneno yako mazuri

Umeonyesha ukomavu mkubwa Sana na kujitambua na kubwa hakuna sababu ya Kuwa wanyonge Kwa maneno ya Wavulana wasio jitambua.

Kongole kwako Sana Tu .
 
Kuwa kwenye hiyo hali siyo dhamira ya kila binti aliyeko uko
Wengi wamejikuta uko sababu wamezaa bado wadogo( wako masomoni ), wamezaa na waume za watu na kukimbiwa na walio wapa ujauzito ( kwenye hili sababu ni nyingi)

Siyo wote waliyoko kwenye hii hali ni wabaya na siyo wote ni wazuri pia
Sababu zinazofanya waogopwe ni nyingi pia mfano vijana wengi huwamini kwamba mtoto ameshatengeneza uhusiano au daraja la kuwakutanisha wazazi hivyo siyo rahisi wao kukubali kuishi na watu wa aina iyo

Mwisho niseme tuu lengo lisiwe kuwasema bali tuhimizane tusitengeneze ilo tabaka
Mabinti wahakikishe wanaingia sehemu sahihi
Na
Vijana wasikimbie majukumu
Mkuu nakubaliana na wewe 💯

Ndio maana Mimi nakerwa Sana na watu wanawatuhumu na kibaya Zaidi wanawafanya hawa dada zetu wasionekane hawana thamani tena katika jamii

Kama wewe huwezi kuoa single Maza basi Acha Ila usieneze sumu katika jamii na kuwakatisha tamaa wengine wasiwaoe

Kama ulivyosema kubwa ni kujitahidi hii jamii isiongezeke katika jamii yetu

Wadada msidhani kwamba ukimzalia mwanaume ndio itakuwa tiketi ya kuwa na wewe, kubwa ni kujichunga na mhakikishe watoto wanapatikana katika familia baada ya ndoa.

Shukrani Sana mkuu.
 
Kuwa kwenye hiyo hali siyo dhamira ya kila binti aliyeko uko
Wengi wamejikuta uko sababu wamezaa bado wadogo( wako masomoni ), wamezaa na waume za watu na kukimbiwa na walio wapa ujauzito ( kwenye hili sababu ni nyingi)

Siyo wote waliyoko kwenye hii hali ni wabaya na siyo wote ni wazuri pia
Sababu zinazofanya waogopwe ni nyingi pia mfano vijana wengi huwamini kwamba mtoto ameshatengeneza uhusiano au daraja la kuwakutanisha wazazi hivyo siyo rahisi wao kukubali kuishi na watu wa aina iyo

Mwisho niseme tuu lengo lisiwe kuwasema bali tuhimizane tusitengeneze ilo tabaka
Mabinti wahakikishe wanaingia sehemu sahihi
Na
Vijana wasikimbie majukumu
Hilo paragraph la mwisho kwa dunia tuliyopo ni ngumu sababu hamna kitu kigumu kumshauri binti wa miaka kati ya 18-25 na wengi ndio wahanga.

Unakuta binti anatembea na mume wa mtu na anajua kabisa jamaa kaoa,still yeye bado anaomaa nae ukimuuliza utamsikia "mume wa mtu anajua kulea ......anajua kutunza...",kesho akipigwa mimba jamaa anarudi kwa mkewe ahana time nae.

Unakuta binti anatembea na mtu ambaye kishazaa na wanawake watatu tofauti, still yy kakoma tuu na jamaa akimzalisha kama kawa anapiga chini anavuta chuma nyingine.Hapo unaweza kuta kuna jamaa yupo ambaye anaweza KUMTIMIZIA MAHITAJI YAKE YA MSINGI lkn unakuta anawang'ang'ania hao sababu wana hela wanaweza kumpa LUXURY LIFE ambavyo si vya msingi ktk maisha yake ,wakija kushtuka wanajikuta washachelewa.

Wapo single mother wachache ambao kweli waliozaa nao wana stahili lawama ,ila wengi wao ni wao wenyewe wameyataka na mara nyingi huambiwaga ukweli ila hawa helewi.
 
Mkuu Etugrul Bey
Kuoa single mother hakukufanyi kuwa mwanaume wa shoka.Unaowaita wavulana eti kwakuwa hawataki kuoa au kuwaponda single mother huenda wanajua mengi kuhusu single mother kuliko wewe
Mkuu kama umeoa au unataka kuoa single mother wewe oa tu ila usijipe cheo cha kuwa utakuwa mwanaume wa shoka baada ya kuoa used.
Waoaji wa single mother ni wanaume wasiojiamini, wanapenda mtelezo na kujipa mamlaka kwa wanawake hao kwakuwa wanajua wamepata wanawake waliokata tamaa, wasiojiamini na wapo tayari kuolewa na yeyote yule ilimradi tu anapumua.
Wewe mpuuzi uliyeamua kuoa hao usituingize sisi kwenye upuuzi huo eti kwakuwa tukioa used tutaonekana wanaume wa maana.
 
Hilo paragraph la mwisho kwa dunia tuliyopo ni ngumu sababu hamna kitu kigumu kumshauri binti wa miaka kati ya 18-25 na wengi ndio wahanga.

Unakuta binti anatembea na mume wa mtu na anajua kabisa jamaa kaoa,still yeye bado anaomaa nae ukimuuliza utamsikia "mume wa mtu anajua kulea ......anajua kutunza...",kesho akipigwa mimba jamaa anarudi kwa mkewe ahana time nae.

Unakuta binti anatembea na mtu ambaye kishazaa na wanawake watatu tofauti, still yy kakoma tuu na jamaa akimzalisha kama kawa anapiga chini anavuta chuma nyingine.Hapo unaweza kuta kuna jamaa yupo ambaye anaweza KUMTIMIZIA MAHITAJI YAKE YA MSINGI lkn unakuta anawang'ang'ania hao sababu wana hela wanaweza kumpa LUXURY LIFE ambavyo si vya msingi ktk maisha yake ,wakija kushtuka wanajikuta washachelewa.

Wapo single mother wachache ambao kweli waliozaa nao wana stahili lawama ,ila wengi wao ni wao wenyewe wameyataka na mara nyingi huambiwaga ukweli ila hawa helewi.

((Wapo single mother wachache ambao kweli waliozaa nao wana stahili lawama ,ila wengi wao ni wao wenyewe wameyataka na mara nyingi huambiwaga ukweli ila hawa helewi))

Nimekoti hayo maneno yako kuonyesha nakazia mkuu
 
Mkuu Etugrul Bey
Kuoa single mother hakukufanyi kuwa mwanaume wa shoka.Unaowaita wavulana eti kwakuwa hawataki kuoa au kuwaponda single mother huenda wanajua mengi kuhusu single mother kuliko wewe
Mkuu kama umeoa au unataka kuoa single mother wewe oa tu ila usijipe cheo cha kuwa utakuwa mwanaume wa shoka baada ya kuoa used.
Waoaji wa single mother ni wanaume wasiojiamini, wanapenda mtelezo na kujipa mamlaka kwa wanawake hao kwakuwa wanajua wamepata wanawake waliokata tamaa, wasiojiamini na wapo tayari kuolewa na yeyote yule ilimradi tu anapumua.
Wewe mpuuzi uliyeamua kuoa hao usituingize sisi kwenye upuuzi huo eti kwakuwa tukioa used tutaonekana wanaume wa maana.
Asante kwa maneno yako na maoni yako

Wewe ni Kati ya Wavulana ambao nimewaongelea hapo,huwa hamkosi sababu maadam Tu mhalalishe uvulana wenu.

Hakuna kitu cha kijasiri kama kumpenda mwanamke mwenye mtoto,upo tayar kulea mtoto wake na kumfanya wako,hakika hayo ni mapenzi makubwa Sana na inaonyesha jinsi gani mwanaume huyo ni husband material,anaweza kushow love Kwa familia yake,ndio maana nikasema Wanaume waishi Maisha marefu coz hawa ndio wanafanya jamii iwe katika uangalizi wao.

wavulana hata mkimpa mimba binti Tu mnakimbia,je ufaza mtauweza wapi?

kongole Kwa wanaume wote!
 
Back
Top Bottom