jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Ni kweli lakini kama hujui huyo single mother pesa za kukulea alikuwa ana zipataje?Wengine tumelelewa na kukuzwa na single mamaz. I love them single mamaz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli lakini kama hujui huyo single mother pesa za kukulea alikuwa ana zipataje?Wengine tumelelewa na kukuzwa na single mamaz. I love them single mamaz.
Kuongezea, unadhan huyo single mom alikua anafanya hayo kukulea vizuri kwa kua anakupenda sana? Wale hua wanamtafuta sympathy, waonekane wema, ili badae umsaidie maana anakua Hana company ya kweli kutoka kwa mwenza kutokana na tabia zake.Ni kweli lakini kama hujui huyo single mother pesa za kukulea alikuwa ana zipataje?
Kijana naona unataka kuufufua huu uzi ukaribishe comments za feminist humu.Single mothers Ni wanawake hatari sana,Yaani Sana tu
I'm talking from my own experience, hao viumbe sio wa mzaha mzahaKijana naona unataka kuufufua huu uzi ukaribishe comments za feminist humu.
Hauko peke yako, hata mm nimewanyooshea mikono hao watu [emoji870]I'm talking from my own experience, hao viumbe sio wa mzaha mzaha
Wanashida ipi specific inayowatofautisha na wengine kabla hatujauliza sababu za wao kua single mothers.Hauko peke yako, hata mm nimewanyooshea mikono hao watu [emoji870]
Usiendekeze single mother.Wanashida ipi specific inayowatofautisha na wengine kabla hatujauliza sababu za wao kua single mothers.
Ukute tunahusika ktk kupelekea Hali husika
Sababu ?Usiendekeze single mother.
Akili zao wanazijua wenyeweI'm talking from my own experience, hao viumbe sio wa mzaha mzaha
Tulikumisi mgogo mwenzangu mi wa mlowa na nghambako kambin karibuAnaitwa ETUGRUL BEY
Ane kwetu mpwayungu karibu sana elo, muliwaswanu kuko ukumanyile mondomelaTulikumisi mgogo mwenzangu mi wa mlowa na nghambako kambin karibu
Kuna singomother ni mchepuko Wangu Niko nae kwny mahusiano mwaka wa 2 Sasa.
Mengi mabaya yanayozungumzwa humu jf khs singomother siyaoni kabisa kwake.
Ana nafuu sana kuliko hata mamaJ wangu ambae ananipasua kichwa kila kukicha.
Zaid Zaid Mimi Ndo nampasua kichwa huyu singomother.
Mi nadhan suala la usumbufu Ni tabia TU ya mtu.
Week kubwa sana, siku 3 tu akishajijua yeye ndio yeye brother ataleta mrejeshoHuyo ni mchepuko na yeye mwenyewe ameshajijua kuwa ni mchepuko kwahiyo anaishi kwa akili kubwa na wewe, shtuka kijana kama mama j wako ni pasua kichwa mpige chini alafu nenda kaishi na huyo singo maza unayemsifia kuwa ni bora kuliko mama j wako, nakupa week moja tu nenda kaishi nae alafu njoo hapa utupe mrejesho [emoji1547]
That's reality, changamoto za maisha ni sababu kuu istoshe pia idadi inazidi kuongezeka kila kukicha hii ni hatari kwa ustawi wa jamii yetu.Malezi na changamoto za kimaisha yamechangia pakubwa ongezeko la single mamaz..