Single men

Unafikiri wakipata kama huyu ana appreciate? Utachezea kipigo in the name of A woman who will rejoice in serving you without complains
 
Mi kwa kweli being this kind of a woman sitaweza even in my sleep. I just cannot. Labda kwa BAK nitaweza. Mimi ni pasua kichwa vibaya mnooooooo.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Mhhhh! Karucee hujatulia weye!!! LOL! hahahahahah....ila baadhi ya mabandiko yako ni pasua kichwa kwa kweli halafu una ile soft side ambayo huionyesha kila siku unapoandika kuhusu mama mpenzi yaani huwa inakuwa na mguso wa hali ya juu kwa wasomaji wengi hapa jamvini.

Mi kwa kweli being this kind of a woman sitaweza even in my sleep. I just cannot. Labda kwa BAK nitaweza. Mimi ni pasua kichwa vibaya mnooooooo.
 
Last edited by a moderator:
Kwenye relationship lazima ukonde mnooooooo. Unless you are a bad boy. But soft and clingy? Pasua mbaya mnoooo. teh teh. Mama bwana, she's the queen who tames this wild woman!!!
 
ingekuwa kizazi hiki ungefungwa kwa kuoa mtoto mdogo babu!

Hivi wewe ukoje?

Hujasikia niliposema kuwa sitaki uchokozi wako??

Naona unajitafutia laana...

Babu DC!!
 
Unafikiri wakipata kama huyu ana appreciate? Utachezea kipigo in the name of A woman who will rejoice in serving you without complains


Uko sahihi kabisa....

Kuna watu tulihangaika kupata washikaji wa kupeana kampani badala ya kuwa na mtumishi wa ndani...

Kwa hiyo kupata mtu ambaye atakutukuza kama King Mswati itakuwa ni majanga...lol!!

Sometimes men want to be held under control by their wives...vinginevyo nyumba inakuwa dull...

Ndiyo maana sijui kama kuna mwingine katika dunia hii zaidi ya Bibi..lol!!:lol::lol::tongue:

Babu DC!!
 
Kudadadeki watu noma! utashi huu mnautoa wapi? kuna mtu kamwaga pombe zenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…