Single mother (Hamisa Mobeto) kaolewa kwa kishindo. Hili huenda likafufua matumaini ya wengine huku mitaani

Single mother (Hamisa Mobeto) kaolewa kwa kishindo. Hili huenda likafufua matumaini ya wengine huku mitaani

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya

2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua jumla mwanamke mwenye historia mbaya ,mwanaume unahitaji kuwa na mwanamke mwenye Jana nzuri ambaye Hana Cha kurejerea , yaani unakuwa na mke Kila mnachokifanya kuanzia kitandani hadi mahusiano yenu anakuwa na references mkiwa kitandani anaweza refer wanaume zake na akaona either umezidiwa au wamekuzidi,mkizungumza jambo anaweza rejea kwa mwanaume wake flani alifanyaje ndipo apate busara , lakini Aziz k amefanya Hilo liwe ni ujinga vitabu vya dini vinazungumza habari za mwanamke bikra kwa mwamba Aziz k sio tatizo,

3. Kuoa single mother mwenye watoto zaidi ya mmoja Tena kwa baba tofauti ni ujasiri sana hii Haina tofauti n kwenda vitani , yaani unabeba silaha hujui unaenda kupigana na nani na amekukosea nini lakini unakwenda kupigana , lakini Aziz k amefanya huu ni mfano wa wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother, hii ndoa ni mapinduzi makubwa sana mimi nawatia moyo single mother kuwa msikate tamaa ya ndoa wapo wanaume majasiri kama Aziz k
 
Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya , 2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua jumla mwanamke mwenye historia mbaya ,mwanaume unahitaji kuwa na mwanamke mwenye Jana nzuri ambaye Hana Cha kurejerea , yaani unakuwa na mke Kila mnachokifanya kuanzia kitandani hadi mahusiano yenu anakuwa na references , lakini Aziz k amefanya Hilo liwe ni ujinga 3. Kuoa single mother mwenye watoto zaidi ya mmoja Tena kwa baba tofauti ni ujasiri sana hii Haina tofauti n kwenda vitani , yaani unabeba silaha hujui unaenda kupigana na nani na amekukosea nini lakini unakwenda kupigana , lakini Aziz k amefanya huu ni mfano wa wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother, hii ndoa ni mapinduzi makubwa sana mimi nawatia moyo single mother kuwa msikate tamaa ya ndoa wapo wanaume majasiri kama Aziz k
Tako wanalo? Sio u ajipa matumaini wakati huna msambwandaaa
 
Kibongo bongo hii tafsiri hatutaki kuifahamu
Unakuta mtu ni mzazi mwenza , mwanaume anashiriki kikamilifu kwenye malezi ya mtoto ila bado tunaita huyo mwanamke single mother , ila sijui labda ina ukweli, ila mimi sioni kama mwanamke wa hivyo anapaswa kuitwa single maza badala ya mzazi mweza🤔
 
Kama miguu ya mwanaume ndy kipimo halisi Cha maumbile ya kiunoni ,
Basi Hamisa yupo kwenye mtihani mzito sana,

30 M Za mahari haziwezitolewa kirahisi vile.

Jamaa atakuwa na ulemavu wa kiuno AISEE,,sio bure
 
Kwa namna ninavyolewa mimi single mother ni mwanamke anaelea mtoto peke yake, bila usaidizi wa mzazi wa kiume , unathibitisha vipi kuwa huyo bidada ni single maza?
Kwa dictionary ya bongo ni mwanamke mwenye mtoto pasipo ndoa na mzazi mwenzie.
 
Back
Top Bottom