Single mother (Hamisa Mobeto) kaolewa kwa kishindo. Hili huenda likafufua matumaini ya wengine huku mitaani

Single mother (Hamisa Mobeto) kaolewa kwa kishindo. Hili huenda likafufua matumaini ya wengine huku mitaani

Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya

2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua jumla mwanamke mwenye historia mbaya ,mwanaume unahitaji kuwa na mwanamke mwenye Jana nzuri ambaye Hana Cha kurejerea , yaani unakuwa na mke Kila mnachokifanya kuanzia kitandani hadi mahusiano yenu anakuwa na references mkiwa kitandani anaweza refer wanaume zake na akaona either umezidiwa au wamekuzidi,mkizungumza jambo anaweza rejea kwa mwanaume wake flani alifanyaje ndipo apate busara , lakini Aziz k amefanya Hilo liwe ni ujinga vitabu vya dini vinazungumza habari za mwanamke bikra kwa mwamba Aziz k sio tatizo,

3. Kuoa single mother mwenye watoto zaidi ya mmoja Tena kwa baba tofauti ni ujasiri sana hii Haina tofauti n kwenda vitani , yaani unabeba silaha hujui unaenda kupigana na nani na amekukosea nini lakini unakwenda kupigana , lakini Aziz k amefanya huu ni mfano wa wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother, hii ndoa ni mapinduzi makubwa sana mimi nawatia moyo single mother kuwa msikate tamaa ya ndoa wapo wanaume majasiri kama Aziz k
eleza vizuri.
1. Aziz ni nani? anafanya kazi gani? mtu wa wapi? Eleza historia yake kwa ufupi

2. Mabeto ni nani? anafanya kazi gani? amezaa na akina nani? ni wa wapi? eleza Historia yake kwa ufupi
 
Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya

2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua jumla mwanamke mwenye historia mbaya ,mwanaume unahitaji kuwa na mwanamke mwenye Jana nzuri ambaye Hana Cha kurejerea , yaani unakuwa na mke Kila mnachokifanya kuanzia kitandani hadi mahusiano yenu anakuwa na references mkiwa kitandani anaweza refer wanaume zake na akaona either umezidiwa au wamekuzidi,mkizungumza jambo anaweza rejea kwa mwanaume wake flani alifanyaje ndipo apate busara , lakini Aziz k amefanya Hilo liwe ni ujinga vitabu vya dini vinazungumza habari za mwanamke bikra kwa mwamba Aziz k sio tatizo,

3. Kuoa single mother mwenye watoto zaidi ya mmoja Tena kwa baba tofauti ni ujasiri sana hii Haina tofauti n kwenda vitani , yaani unabeba silaha hujui unaenda kupigana na nani na amekukosea nini lakini unakwenda kupigana , lakini Aziz k amefanya huu ni mfano wa wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother, hii ndoa ni mapinduzi makubwa sana mimi nawatia moyo single mother kuwa msikate tamaa ya ndoa wapo wanaume majasiri kama Aziz k
Kila la kheri Master Ki
 
Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya

2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua jumla mwanamke mwenye historia mbaya ,mwanaume unahitaji kuwa na mwanamke mwenye Jana nzuri ambaye Hana Cha kurejerea , yaani unakuwa na mke Kila mnachokifanya kuanzia kitandani hadi mahusiano yenu anakuwa na references mkiwa kitandani anaweza refer wanaume zake na akaona either umezidiwa au wamekuzidi,mkizungumza jambo anaweza rejea kwa mwanaume wake flani alifanyaje ndipo apate busara , lakini Aziz k amefanya Hilo liwe ni ujinga vitabu vya dini vinazungumza habari za mwanamke bikra kwa mwamba Aziz k sio tatizo,

3. Kuoa single mother mwenye watoto zaidi ya mmoja Tena kwa baba tofauti ni ujasiri sana hii Haina tofauti n kwenda vitani , yaani unabeba silaha hujui unaenda kupigana na nani na amekukosea nini lakini unakwenda kupigana , lakini Aziz k amefanya huu ni mfano wa wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother, hii ndoa ni mapinduzi makubwa sana mimi nawatia moyo single mother kuwa msikate tamaa ya ndoa wapo wanaume majasiri kama Aziz k
Thubutuuuuu utafufua wew matumaini
 
Yaani unasema

wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother

Waseng*e ndio unawaita wanaume majasiri
Ndio ni ujasiri wa hali ya juu kukubali kujitishwa zigo kama lile
 
eleza vizuri.
1. Aziz ni nani? anafanya kazi gani? mtu wa wapi? Eleza historia yake kwa ufupi

2. Mabeto ni nani? anafanya kazi gani? amezaa na akina nani? ni wa wapi? eleza Historia yake kwa ufupi
Gemini anajibu

Aziz ni nani?
Stephane Aziz Ki, maarufu kama Aziz Ki, ni mchezaji wa mpira wa miguu wa kulipwa kutoka Ivory Coast.

Anacheza nafasi gani?
Kiungo wa kati.

Anachezea timu gani?
Klabu ya Young Africans S.C inayocheza Ligi Kuu Tanzania Bara.

Historia yake kwa ufupi:
Aziz Ki alianza soka lake la kulipwa katika klabu ya ASEC Mimosas nchini Ivory Coast. Baadaye alihamia barani Ulaya na kucheza katika klabu mbalimbali kama vile Omonia Nicosia huko Cyprus. Kabla ya kujiunga na Yanga, Aziz Ki alikuwa anakipiga katika klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan.

Mabeto ni nani?
Hamisa Mobetto, maarufu kama Mabeto, ni mwanamitindo, muigizaji na msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania.

Amezaa na akina nani?
Hamisa Mobetto amejaliwa watoto wawili, mmoja ni mtoto wa kike aitwaye Fancy na mtoto wa kiume aitwaye Dylan.

Ni wa wapi?
Hamisa Mobetto ni Mtanzania.

Historia yake kwa ufupi:
Hamisa Mobetto ni maarufu kwa kazi zake za mitindo na uigizaji. Ameonekana katika video mbalimbali za muziki na filamu. Hamisa pia ni mjasiriamali na ana biashara yake ya mitindo.

Aziz Ki ana umri wa miaka 28.
Hamisa Mobetto ana umri wa miaka 30.
 
Ila watu yamewatoka maneno.. kila mmoja azingatie atakacho yeye na mtu hawezi kupangiwa aishi vipi
 
Ndoa ya Aziz k na hamisa mobeto ni alama na mfano wa kuigwa kwa sababu 1. Hakuna mwanaume mwenye utimamu wa akili na mwili anaweza badili Imani yake ya dini , mahusiano yake na MUNGU kwa sababu ya mwanamke, lakini Aziz k amefanya

2. Hakuna mwanaume ambaye ana akili zake sawa anaweza chukua jumla mwanamke mwenye historia mbaya ,mwanaume unahitaji kuwa na mwanamke mwenye Jana nzuri ambaye Hana Cha kurejerea , yaani unakuwa na mke Kila mnachokifanya kuanzia kitandani hadi mahusiano yenu anakuwa na references mkiwa kitandani anaweza refer wanaume zake na akaona either umezidiwa au wamekuzidi,mkizungumza jambo anaweza rejea kwa mwanaume wake flani alifanyaje ndipo apate busara , lakini Aziz k amefanya Hilo liwe ni ujinga vitabu vya dini vinazungumza habari za mwanamke bikra kwa mwamba Aziz k sio tatizo,

3. Kuoa single mother mwenye watoto zaidi ya mmoja Tena kwa baba tofauti ni ujasiri sana hii Haina tofauti n kwenda vitani , yaani unabeba silaha hujui unaenda kupigana na nani na amekukosea nini lakini unakwenda kupigana , lakini Aziz k amefanya huu ni mfano wa wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother, hii ndoa ni mapinduzi makubwa sana mimi nawatia moyo single mother kuwa msikate tamaa ya ndoa wapo wanaume majasiri kama Aziz k

Kwenye sensitivity test hii tunaita False Positive.

Itoshe kusema: Tuwatakia heri kwenye ndoa yao. Inshallah
 
Unachosahau ni kwamba aliyeolewa ni "Hamisa"... sio singo maza yoyote yoyote tu
 
Aziz k wakuja kapewa mbuzi kwenye loba.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Yaani unasema

wanaume majasiri sana Dunia ,baada ya mashoga wanaume wengine majisiri ni hawa wanaojitwisha single mother

Waseng*e ndio unawaita wanaume majasiri
Unaona inavyotisha yaani mwanaume ufirwe , lakini mashoga wapo tayari nazani Hilo ni tisho kubwa sana ,
 
Back
Top Bottom