Single Mothers ndio wanaongoza kwenye biashara ya ngono miji yote iliyochangamka Tanzania

Single Mothers ndio wanaongoza kwenye biashara ya ngono miji yote iliyochangamka Tanzania

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Pamoja na kwamba biashara ya ngono imekuwepo tangu enzi na enzi, katika nyakati za miaka ya hivi Karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuzaa nje ya ndoa bila kuwa na msingi wowote kimaisha, na wengine baadhi wameachika kwenye ndoa, wengine ni ndoa za vichaka yaani michepuko.

Shuhuda yangu kama mtu ambae nasafiri sana mikoa na miji mbalimbali hapa Tanzania. Katika wanawake 10 ambao tunaona ni pisi kali kwenye hio miji hasa maeneo ya bata 7 au 8 ni wana watoto, ni watatu au wawili tu ndio hawajawahi kuzaa mtoto.

Na katika hao kundi hatari la wanawake ni wale wenye watoto kwanzia miaka 2 hadi 4, hawa ni nyoko dadeki wana njaa kumzidi hata kunguru wa DSM.

Mambo ni mengi mengine mtaongezea wenyewe kwa kutaja baadhi ya miji na wilaya na mikoa, tunaanza na Singida, Manyara, Kahama, Shinyanga, Manyoni, Karatu, Babati, Tunduru, Masasi, Lindi, Mtwara, mbaba bay, Mbinga, Songea, Makambako, Njombe, Iringa, Ruaha Mbuyuni, Mikumi, Ifakara, Kilombero, Mang'ula, Morogoro Town, Kilosa, Same, Moshi Town, Arusha Town, Chalinze, Mkata kwa msisi, Handeni, Tanga mjini, Mlandizi, Gairo, Mto wa mbu, DSM wilaya zake zote, Kilosa, Dodoma, Mwanza, Bunda, Bukoba, Geita, Katoro, Runzewe, Tabora, Nzega na Sikonge huku ni nyoko balaaa.

Kila sehemu single mothers wanaongoza wao hata kwenye madanguro na mabarmaid ni wao tu.

Ni wakati acha ukweli uendelee kusemwa.

Tukutane kwenye comments.

👍👍👍 Wadiz
 
Naunga mkono hoja..kibongo bongo mwanamke ambaye kaanza mapenzi 2015 kuja mbele lazima tu amezalishwa hence shown maana wao ndo hao hao walioanza ulevi na kudanga miaka ya 2018 mpaka leo ikizingatiwa mishangazi ina soko kwasasa wanadai mitamu so mishangazi isingekuwa inakusubiri wewe iache kuzalishwa..hivyo hakuna la ajabu sana tuishi humo kunani
 
Aibu kubwa Kwa wanaume waliowazalisha....

Ukimzalisha mwanamke halafu apate njaa Hadi akaamua kujiuza ...huoni aibu ni yako Kwa kushindwa kumlinda mama wa mtoto wako??
Ni hatari sana globalization
 
Naunga mkono hoja..kibongo bongo mwanamke ambaye kaanza mapenzi 2015 kuja mbele lazima tu amezalishwa hence shown maana wao ndo hao hao walioanza ulevi na kudanga miaka ya 2018 mpaka leo ikizingatiwa mishangazi ina soko kwasasa wanadai mitamu so mishangazi isingekuwa inakusubiri wewe iache kuzalishwa..hivyo hakuna la ajabu sana tuishi humo kunani
Ulevi si mmewafundisha wenyewe 🤣
 
Aibu kubwa Kwa wanaume waliowazalisha....

Ukimzalisha mwanamke halafu apate njaa Hadi akaamua kujiuza ...huoni aibu ni yako Kwa kushindwa kumlinda mama wa mtoto wako??

Hivi hao single mother si Watu wazima kabisa wanaoweza kufanya kazi.
Nchi yetu inatoa fursa sawa kwenye ishu za ajira kwa nini useme hivyo?

Kwenye sheria za asili na za kibinadamu hakuna sehemu ya kumlinda Baba au mama watoto wako ikiwa mmeshaachana.

Kama hawezi kulea mtoto amkabidhi kwa Baba yake
 
Tunakoelelea ni kunatisha, vitoto vidogo 18-23 vingi sana vimeshazalishwa, walau mtu uko 28 inaeleweka, ila 18-23 vipo mtaani kibao na "watoto wasio na baba"!
Sad!!

Hakuna muujiza ndugu yangu. Ukipanda ngano usitegeme kuvuna mtama. Tuko kwenye jamii ambazo mtoto wa miaka 3-6 anajua miziki yote ya dunia ya akina Diamond na wenzio ambayo yote inazungumzia mapenzi. Mtoto wa darasa la nne au tano tayari kashazibuliwa anamaliza la saba anajua mapenzi style zote. Anaingia form one ana mvulana anayemuita mchumba tayari. Ni kudra za Mungu tu kwamba anafika 18 years hajapata ujauzito. Akifika hiyo 18-23 hapo wngi wamemaliza form four na wamefeli mtaani kugumu so akidanganywa na mwanaume ni dakika tu anauza mechi. Inatia huruma kwa kweli
 
Mambo zilianzia kwenye mavazi wadada wanatembea nusu uchi wategemea kijana lijari atawaacha salama cha ajabu wanaovaa nusu utupu wengi wao wapo kwenye ndoa je hao watoto itakuwaje
 
Hivi hao single mother si Watu wazima kabisa wanaoweza kufanya kazi.
Nchi yetu inatoa fursa sawa kwenye ishu za ajira kwa nini useme hivyo?

Kwenye sheria za asili na za kibinadamu hakuna sehemu ya kumlinda Baba au mama watoto wako ikiwa mmeshaachana.

Kama hawezi kulea mtoto amkabidhi kwa Baba yake

Jiweke nafasi ya huyo mtoto
 
Jiweke nafasi ya huyo mtoto

Kama mama yake amekataa nisimlee unataka Baba afanye nini?
Huwezi kuweka nafasi ya mtu mwingine. Unachotakiwa kufanya ni wajibu wako(ubaki kwenye nafasi yako).
Unajaribu kutaka kumtunza mtoto mama yake hataki, au anataka atumie matumizi ya mtoto kwa mambo yake. Unataka Baba afanye nini?
 
Pamoja na kwamba biashara ya ngono imekuwepo tangu enzi na enzi, katika nyakati za miaka ya hivi Karibuni kumekuwa na ongezeko la wanawake kuzaa nje ya ndoa bila kuwa na msingi wowote kimaisha, na wengine baadhi wameachika kwenye ndoa, wengine ni ndoa za vichaka yaani michepuko.

Shuhuda yangu kama mtu ambae nasafiri sana mikoa na miji mbalimbali hapa Tanzania. Katika wanawake 10 ambao tunaona ni pisi kali kwenye hio miji hasa maeneo ya bata 7 au 8 ni wana watoto, ni watatu au wawili tu ndio hawajawahi kuzaa mtoto.

Na katika hao kundi hatari la wanawake ni wale wenye watoto kwanzia miaka 2 hadi 4, hawa ni nyoko dadeki wana njaa kumzidi hata kunguru wa DSM.

Mambo ni mengi mengine mtaongezea wenyewe kwa kutaja baadhi ya miji na wilaya na mikoa, tunaanza na Singida, Manyara, Kahama, Shinyanga, Manyoni, Karatu, Babati, Tunduru, Masasi, Lindi, Mtwara, mbaba bay, Mbinga, Songea, Makambako, Njombe, Iringa, Ruaha Mbuyuni, Mikumi, Ifakara, Kilombero, Mang'ula, Morogoro Town, Kilosa, Same, Moshi Town, Arusha Town, Chalinze, Mkata kwa msisi, Handeni, Tanga mjini, Mlandizi, Gairo, Mto wa mbu, DSM wilaya zake zote, Kilosa, Dodoma, Mwanza, Bunda, Bukoba, Geita, Katoro, Runzewe, Tabora, Nzega na Sikonge huku ni nyoko balaaa.

Kila sehemu single mothers wanaongoza wao hata kwenye madanguro na mabarmaid ni wao tu.

Ni wakati acha ukweli uendelee kusemwa.

Tukutane kwenye comments.

[emoji106][emoji106][emoji106] Wadiz
Wanamsemo wao wenyewe, wanasema wanapambana kwa ajili ya watoto wao. Wanapambana kwa kuuza vitobo
 
Aibu kubwa Kwa wanaume waliowazalisha....

Ukimzalisha mwanamke halafu apate njaa Hadi akaamua kujiuza ...huoni aibu ni yako Kwa kushindwa kumlinda mama wa mtoto wako??
Ni kweli mkuu, huwa nawaambia hata watu wangu wa karibu kauli hii. Ila mkuu hawa wanawake nao wanashida mahala. Wana misjudge sana wakati wa uschana wao. Wakiwa waschana huwa hawawataki wanaume wenye maadili na mwelekeo wa maisha. Wanawaona wahamba. Wanawataka wanyoa viduku, wapaka poda, wavaa milegezo nk. Wakishazalishwa hawahudumiwi na wanakimbiwa. Ndio wanaanza kuhangaika na masponsa. Wanaanza kugawa kwa wanUme wenye wake na familia ili hali wakijua kabisa hakuna future ili amlee huyo mtoto.

Kumbe alikosea nyumaaa, alipo toa kwa blaza men kwa kufuata swagz. Hapo ndio mwanamke huanza kuwa malaya malaya tu.
 
Hakuna muujiza ndugu yangu. Ukipanda ngano usitegeme kuvuna mtama. Tuko kwenye jamii ambazo mtoto wa miaka 3-6 anajua miziki yote ya dunia ya akina Diamond na wenzio ambayo yote inazungumzia mapenzi. Mtoto wa darasa la nne au tano tayari kashazibuliwa anamaliza la saba anajua mapenzi style zote. Anaingia form one ana mvulana anayemuita mchumba tayari. Ni kudra za Mungu tu kwamba anafika 18 years hajapata ujauzito. Akifika hiyo 18-23 hapo wngi wamemaliza form four na wamefeli mtaani kugumu so akidanganywa na mwanaume ni dakika tu anauza mechi. Inatia huruma kwa kweli
Hapo mkuu turudi kwenye uzi wa mwana mmoja aliyewaasa wazazi wawahudumie mabinti zao. Hakuna maisha magumu kama mzazi atamhudumia
 
Na tutoto twetu tukikua tutatomba single mom tena? Au tutazalisha single mom kwa tutoto twenu
😂😂😂😂🙌
 
Back
Top Bottom