KIKUNGU
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 845
- 587
Wana-JF naomba tutoe uzoefu wetu kwenye hii topic ili tu-share kitu/vitu maana ndoa za siku hizi ni kama ujio wa bwana wetu yesu kristo yaani hujui siku wala saa ndoa itakapo kuwa haipo.
Ni kipi bora baada ya kutoka katika ndoa(Divorced) ukiwa bado na umri mdogo tu wa let say, mid-thirties or below,ukiwa na watoto,ubaki bila kuoa au uoe mwanamke wa aina gani,mwenye mtoto/watoto kama wewe/divorced kama wewe/umri mnaokaribiana au ulomzidi sana.
Lengo likiwa unataka the best for your children and keeping in mind your happiness as well.
Ni kipi bora baada ya kutoka katika ndoa(Divorced) ukiwa bado na umri mdogo tu wa let say, mid-thirties or below,ukiwa na watoto,ubaki bila kuoa au uoe mwanamke wa aina gani,mwenye mtoto/watoto kama wewe/divorced kama wewe/umri mnaokaribiana au ulomzidi sana.
Lengo likiwa unataka the best for your children and keeping in mind your happiness as well.