moja mbili tatu
Member
- Mar 27, 2024
- 42
- 179
Wakuu..Hawa jamaa wa mkopo fasta wananidai balaa...kwa namna wanavonidai ningekuwa na hela ningewapa nimalizane nao waache kunitumia jumbe za vitisho na simu,..imefikia wakati wanataka kuwatumia ujumbe watu wangu wote wa kwenye phenebook yangu..walinipa 15000 saivi wananidai 21000.
Nimejaribu kiwaelekeze wanipe muda nipambane niwarudishie hela ...aisee jamaa Sio waelewa kabisa..kwa Hali nilionayo nimeamua waache tu wafanye wanachofanya Ila Bado nimepigika hela yao sijajipata na walinipatia siku nane tu.
Ulishawahi kukopa?je ulikabiliana nao vipi wakati unahali ngumu?
Nimejaribu kiwaelekeze wanipe muda nipambane niwarudishie hela ...aisee jamaa Sio waelewa kabisa..kwa Hali nilionayo nimeamua waache tu wafanye wanachofanya Ila Bado nimepigika hela yao sijajipata na walinipatia siku nane tu.
Ulishawahi kukopa?je ulikabiliana nao vipi wakati unahali ngumu?