Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Kabisa
 
Tuliwahi kumfuata kiroboto kumpa dili la kuzunguka na sisi mikoa ya kusini kuelimisha umma maswala ya afya-Nikiwa nafanya kazi na NGO ya masuala ya Afya. Sasa kwenye bei meneja anataja bei za ajabu (500 milioni) kwa matamasha mawili tu bei utadhani tunamualika 50 cent. Tukampiga chini kumfuata Inspekta Harun nae anazingua. Ndo nilipoelewa kuwa waswahili aisee si mchezo
 
Labda ilikuwa ni namna ya kukataa kwa sababu walikuwa over booked?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anaitwa ALBERT G SENGO
 
Uligoma kunywa...
Ulikuwa unashangaa ukatili gani wa kupora drip za maji ya wagonjwa Muhimbili tunaenda kunywa mitaani?

Hatuna huruma!!
Nilikuwa na ufahamu wa IV fluids?
Halafu Muhimbili siijui...wa mikoani tunapata tabu sana.
 
In Other way ilikua ni Tusu kubwa sana kwa Kibla Juma Kaasim Nature Kiroboto labda ile album Bora ya Muda wote "ugali" isinge fanya Vyema kiasi kile. Mungu ana njia zake za kumpa mtu umatemate.
 
PILI nae akashia kumletea kisosi tu ajisugue ila qibla huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…