atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Unamsemea Idd Ligongo?Sinta
Nora
Nina
Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukia Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.
Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha
Dumelang
Mzee machache naye Kumbe alipitaga!
Huyu mzee katuzidi pesa mpaka kugegeda.
G Sengo RIP kama sikoseiAlikuwa anaitwa ALBERT G SENGO
Kiroboto alikuwa Super star those days .Wakati huo wanaume vs East Coast team ya alina A +Y,mwana FA na King crazy GK.Nuture alikuwa juu mnoKiroboto huenda alitumia sayansi asilia kumzuzua jlo wa bongo (wa zamani). Umemtaja na cheki-bobu-Machache au nimechanganya mafaili? Kweli ndo maana joto lilizidi asee
Kafariki lini huyu jamaa?? Si yupo Mwanza huyu na Media yake au??G Sengo RIP kama sikosei
Huyu Masamaki,nampata sana! Alishawahi mla Uwoya miaka hiyo! Jina lao maarufu ni wauza mboga!Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.
Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.
Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Duh! We jamaa unawajua sana hawa watu! Nakumbuka enzi hizo wapo pale Shinyanga kwa Mama Payton!Dah umenikumbusha Raha P kasepa bongo kajua States anatoboa dah kakutana na balaa shule kaacha ada hana kakutana na Mniga kamtia mimba kumbe jamaa deals zake ni kuuza sembe kabebwa akatiwa gerezani .
Demu alivurugikiwa sana nusu awe chizi ila ana mdogo wake mmoja Caren Peyton katusumbua kitaa then akatimkia states
Sent using Jamii Forums mobile app
Alifikiri yeye ni rafiki wa Zari, Zari alipokuwa Madale alimtafuta mtu wa class yake Madame Rita, Sintah tulibaki kucheza nae mduara tu kwenye 40 za watoto.
ππππ watoto wa kike ni majanga, yule Tanasha mama yake alipambana kuhakikisha ana mwanzo mwema ameishia kuzalishwa na Diamond.Hakuna mwanamke atakayejihusisha na Diamond na awe na class bana. No disrespect.
Binadamu akaitangulia mbele ya haki tunasahau. Vai alivuma piaKuna marehemu Vaileth Mzindakaya pia.
Wewe mond ange taka papuchi yako angeitandika tuu usingechomoa, lazima angekupelekea motoπ₯π₯ππππ watoto wa kike ni majanga, yule Tanasha mama yake alipambana kuhakikisha ana mwanzo mwema ameishia kuzalishwa na Diamond.
Wajanja waliamua kumtupia ndani.Sauti ya nora ilikuwa inanifanya namuonea huruma bila sababu.
Mwanaume hazeeki.
Mkuu japo Uzi ni wazamani Ila bado naomba ufunguke zaidi..kifo Cha Dandu kilitikisa Sana japo nilikua mdogo.Cool James huyo maarufu kama Mtoto wa Dandu. Video ilikuwa bomba sana ile. Mahaba kama yote na Sintah.
Halafu Sintah alimdaka mchizi juu kwa juu.. Enzi hizo kuna wadada wa mjini tena wengine walitajwa na Mwana FA kwenye 'Mabinti' ambao wao walikuwa wakivizia ma-don wakitua Bongo tu wanajilengesha mahotelini huko. Enzi za ujip wa akina Sean Paul, Shaggy na vipusa kibao tu. Acha kabisa!
Michezo hiyo imefanywa sana na dada zangu Mboni Mhita wa The Mboni Show, Rashida Wanjara, Mange Kimambi, Jestina George, Shamimu na wengine siwataji hapa maana wana heshima zao hivi sasa wameshaolewa.
Bydway, jamaa (Cool J) alifanya mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Bongo akiwa behind the scenes. Aliishi mbele Ila aliwekeza sana akili yake hapa Bongo. Wahuni wa Bamaga wakamfanyizia na kumfuta kabisa kwenye uso wa dunia mamaee...
Ameacha legacy moja tu nayo ishaelekea kuzimu. Kili Music Awards!
Nimechoka kuandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imebidi nikamgugu ni kweli amefariki na alikua chuma.Marehemu Violeth
Mzindakaya
ππππ watoto wa kike ni majanga, yule Tanasha mama yake alipambana kuhakikisha ana mwanzo mwema ameishia kuzalishwa na Diamond.
Mkuu japo Uzi ni wazamani Ila bado naomba ufunguke zaidi..kifo Cha Dandu kilitikisa Sana japo nilikua mdogo.