Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Sinta
Nora
Nina

Aisee nilikuwa nawapigia nyeto.
Hasa Nora yani alifanya niwe namchukia Dr Cheni, vile wakiigiza kama mpenzi wake alafu mara aigize analiwa na yule dogo jina limenitoka alikuja kuwa mtangazaji wa ITV badae.

Time flies saizi sio mastaa tena. Enzi hizo insta zetu ilikuwa ni kiu, ijumaa, sun ha ha ha

Dumelang
Unamsemea Idd Ligongo?
 
Kiroboto huenda alitumia sayansi asilia kumzuzua jlo wa bongo (wa zamani). Umemtaja na cheki-bobu-Machache au nimechanganya mafaili? Kweli ndo maana joto lilizidi asee
Kiroboto alikuwa Super star those days .Wakati huo wanaume vs East Coast team ya alina A +Y,mwana FA na King crazy GK.Nuture alikuwa juu mno
 
Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.

Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.

Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Huyu Masamaki,nampata sana! Alishawahi mla Uwoya miaka hiyo! Jina lao maarufu ni wauza mboga!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah umenikumbusha Raha P kasepa bongo kajua States anatoboa dah kakutana na balaa shule kaacha ada hana kakutana na Mniga kamtia mimba kumbe jamaa deals zake ni kuuza sembe kabebwa akatiwa gerezani .

Demu alivurugikiwa sana nusu awe chizi ila ana mdogo wake mmoja Caren Peyton katusumbua kitaa then akatimkia states

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! We jamaa unawajua sana hawa watu! Nakumbuka enzi hizo wapo pale Shinyanga kwa Mama Payton!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😀😀😀😀 watoto wa kike ni majanga, yule Tanasha mama yake alipambana kuhakikisha ana mwanzo mwema ameishia kuzalishwa na Diamond.
Wewe mond ange taka papuchi yako angeitandika tuu usingechomoa, lazima angekupelekea moto🔥🔥
 
Mbona Sinta alikuwa mtu wa kawaida tu, hana la maana ama maajabu. Hivi bado yupo?
 
Cool James huyo maarufu kama Mtoto wa Dandu. Video ilikuwa bomba sana ile. Mahaba kama yote na Sintah.

Halafu Sintah alimdaka mchizi juu kwa juu.. Enzi hizo kuna wadada wa mjini tena wengine walitajwa na Mwana FA kwenye 'Mabinti' ambao wao walikuwa wakivizia ma-don wakitua Bongo tu wanajilengesha mahotelini huko. Enzi za ujip wa akina Sean Paul, Shaggy na vipusa kibao tu. Acha kabisa!

Michezo hiyo imefanywa sana na dada zangu Mboni Mhita wa The Mboni Show, Rashida Wanjara, Mange Kimambi, Jestina George, Shamimu na wengine siwataji hapa maana wana heshima zao hivi sasa wameshaolewa.

Bydway, jamaa (Cool J) alifanya mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Bongo akiwa behind the scenes. Aliishi mbele Ila aliwekeza sana akili yake hapa Bongo. Wahuni wa Bamaga wakamfanyizia na kumfuta kabisa kwenye uso wa dunia mamaee...

Ameacha legacy moja tu nayo ishaelekea kuzimu. Kili Music Awards!

Nimechoka kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu japo Uzi ni wazamani Ila bado naomba ufunguke zaidi..kifo Cha Dandu kilitikisa Sana japo nilikua mdogo.
 
Mkuu japo Uzi ni wazamani Ila bado naomba ufunguke zaidi..kifo Cha Dandu kilitikisa Sana japo nilikua mdogo.

Yaliyopita si ndwele. Yapo Madai ajali na tragedy ya Dandu ilikuwa planned na sio natural cause. Hayo yanasemwa kwenye corridors tu, hayajathibitishwa. Sababu kuu; monopolization. Kuna watu walitaka kumiliki game na kulifanyia ubepari na WALIFANIKIWA.
 
Back
Top Bottom