Umaarufu uliisha baada ya kwenda UG kusoma hawa walikua na group lao walijiita ALQAEDA...Marehemu Chifupa,Maimartha,Sintah,Monalisa na nimemsahau mwingine walikua Wa5
Yaliyopita si ndwele. Yapo Madai ajali na tragedy ya Dandu ilikuwa planned na sio natural cause. Hayo yanasemwa kwenye corridors tu, hayajathibitishwa. Sababu kuu; monopolization. Kuna watu walitaka kumiliki game na kulifanyia ubepari na WALIFANIKIWA.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] watoto wa kike ni majanga, yule Tanasha mama yake alipambana kuhakikisha ana mwanzo mwema ameishia kuzalishwa na Diamond.