Wanawake walijiita Al qaeda!! Hii ya bin laden au?Umaarufu uliisha baada ya kwenda UG kusoma hawa walikua na group lao walijiita ALQAEDA...Marehemu Chifupa,Maimartha,Sintah,Monalisa na nimemsahau mwingine walikua Wa5
Yaani wametesa haswaaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app