Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Nina wa Kaole ? Yupo hapa sasa hivi ana mjukuuUmenikumbusha mbali kiongozi, kuliwahi kuwa na mwanamke mkali kichizi pia enzi hizo, Nina nadhani alipotelea wapi huyu mrembo, nisamehe kiongozi kwa kwenda nje ya mada!
Huyo mshefa atakuwa bahili kweli ..Simu gani hiyo kampa mkewe ??Nina kaolewa na mshefa mmoja katulizwa anakula mema ya nchi habari hapati
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah umenikumbusha Raha P kasepa bongo kajua States anatoboa dah kakutana na balaa shule kaacha ada hana kakutana na Mniga kamtia mimba kumbe jamaa deals zake ni kuuza sembe kabebwa akatiwa gerezani .Zamani kulikuwa na mademu visu natural kama kuna Nargis Mohamed, Sinta, K Lyinn, Nancy Sumari, Amina Chifupa, Rah P na wengine wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau KIU na SANIHiyo bei ilikuwa shida sana, yani 100 tu unapata Ijumaa, uwazi, risasi nadhan na akina Kasheshe hahahaba
Sent using Jamii Forums mobile app
Nora wa Ng'wizukulu Jilala.Amesumbua sana huyu Nora
Mkuu barafu stori zako huwa tamu sana.Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.
Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.
Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Delux pamechoka sana sasa hivi. Nilikutana na mmiliki wake familia ya wale Wahaya....dah hatari sana.Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.
Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.
Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Ni kweli mkuu,lakini enzi zake Delux ilikuwa kijiwe cha wajanja,baadae ikageuka kuwa kama Guest House tu ya Short time na kwa nje pale kulikuwa na malaya wanasumbua sana,hata wale malaya wa mtaa wa vitunguu wakawa wanazengea pale,pakashuka hadhi kabisa.Delux pamechoka sana sasa hivi. Nilikutana na mmiliki wake familia ya wale Wahaya....dah hatari sana.
Sent using my Nokia Torch
Huyu Norah miaka ya 2013 alikua anaishi kwenye gest hii nilishuhudia mimi mwenyewe maeneo ya sinza big bon kwenye ule mtaa una barabara inapita hadi kuja tokealezea na kituo cha daladala
Tag ubavu la mmoja akipigwa kinanuka sio?Umaarufu uliisha baada ya kwenda UG kusoma hawa walikua na group lao walijiita ALQAEDA...Marehemu Chifupa,Maimartha,Sintah,Monalisa na nimemsahau mwingine walikua Wa5
Yaani wametesa haswaaa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina kawa bibi, dahHao ni watu wawili tofauti huyu Nina[emoji116]
View attachment 1061950
πππππ eti mla ndumuJuma Kassim Kiroboto ( Juma Nature) Mtoto wa Kurasini Kijiji Cha Wavuvi alikuwa Na Usela Mwingi Sana Na ndio maana waliotajirika kwa Jina Lake Ni wengi Sana
Yule Binti alikuwa anapenda kudanga Na Watu Maarufu Na ndio sababu miongoni mwa Fimbo alizokula zilikuwa Za Kijana huyo Mla ndumu
Enzi hizo Bongo record ya PFunky ilikuwa Kama Sebule ya TMK
Hio ndio ile ukiskia "Be humble, you wont stay fresh forever!"Nina kawa bibi, dah
Nina alikuwaga black lakini, leo hii ana rangi hivi?Hao ni watu wawili tofauti huyu Nina[emoji116]
View attachment 1061950
πππ kweli kabisa yani ukikumbuka wakivyokuwa miaka 17 iliyopita acha tu na kipindi hicho hakuna social mediaHio ndio ile ukiskia "Be humble, you wont stay fresh forever!"
Hahah waliozaliwa hapo wanaweza wakawa wanamjua huyo maana mpaka kufikia 2001 watakua na aka 6 kipindi ambacho kina nina walikuwa kwenye peak!Wale mliochelewa kufika mjini na mliozaliwa 95, mtoto Sinta alikuwa moto wa kuotea mbalii
Huyu hapa
View attachment 1061953
Dah, yani nina ukiambiwa ule sahizi utaona watu wanazingua ila kalipokuwa on her 18-23 alikuwa kisu cha town!πππ kweli kabisa yani ukikumbuka wakivyokuwa miaka 17 iliyopita acha tu na kipindi hicho hakuna social media
Albert G Sengo...Kwa sasa jamaa yuko Jembe FMKuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.
Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.
Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Nora aliolewa na mganga maamae! Nahisi jamaa alimpiga kimziziology!Hapana Nora aliolewa na ng'wizukulu jilala alikua mweupe...
Nina alikua na macho mazuriii
Sent using Jamii Forums mobile app