Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Nina kaolewa na mshefa mmoja katulizwa anakula mema ya nchi habari hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mshefa atakuwa bahili kweli ..Simu gani hiyo kampa mkewe ??
tapatalk_1554402099300.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zamani kulikuwa na mademu visu natural kama kuna Nargis Mohamed, Sinta, K Lyinn, Nancy Sumari, Amina Chifupa, Rah P na wengine wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah umenikumbusha Raha P kasepa bongo kajua States anatoboa dah kakutana na balaa shule kaacha ada hana kakutana na Mniga kamtia mimba kumbe jamaa deals zake ni kuuza sembe kabebwa akatiwa gerezani .

Demu alivurugikiwa sana nusu awe chizi ila ana mdogo wake mmoja Caren Peyton katusumbua kitaa then akatimkia states

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.

Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.

Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Mkuu barafu stori zako huwa tamu sana.
 
Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.

Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.

Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Delux pamechoka sana sasa hivi. Nilikutana na mmiliki wake familia ya wale Wahaya....dah hatari sana.

Sent using my Nokia Torch
 
Delux pamechoka sana sasa hivi. Nilikutana na mmiliki wake familia ya wale Wahaya....dah hatari sana.

Sent using my Nokia Torch
Ni kweli mkuu,lakini enzi zake Delux ilikuwa kijiwe cha wajanja,baadae ikageuka kuwa kama Guest House tu ya Short time na kwa nje pale kulikuwa na malaya wanasumbua sana,hata wale malaya wa mtaa wa vitunguu wakawa wanazengea pale,pakashuka hadhi kabisa.
 
Juma Kassim Kiroboto ( Juma Nature) Mtoto wa Kurasini Kijiji Cha Wavuvi alikuwa Na Usela Mwingi Sana Na ndio maana waliotajirika kwa Jina Lake Ni wengi Sana

Yule Binti alikuwa anapenda kudanga Na Watu Maarufu Na ndio sababu miongoni mwa Fimbo alizokula zilikuwa Za Kijana huyo Mla ndumu

Enzi hizo Bongo record ya PFunky ilikuwa Kama Sebule ya TMK
😂😂😂😂😂 eti mla ndumu
 
Kuna wakati alienda kutangaza Radio Clouds Mwanza,pale jengo la CCM round about...akiwa na mtangazaji wa Clouds ya Mwanza ambapo kuanzia saa 9 wanajiunga na Clouds Mwanza na Dsm hawasikiki,huyu jamaa wa Mwanza jina limenitoka kidogo.

Alipofika Mwanza,kuna bwanamdogo mshamba tu alikuwa anaitwa Jose Masamaki akambeba Sinta,enzi hizo anamiliki mitumbwi na samaki inakufa sana ziwani.Alikuwa anakula bata pale Deluxe Hotel barabara ya Uhuru karibu na Salma Corn.Pale Delux ilikuwa kijiwe cha wahuni wa kutoka Migodini Geita na vijana wa Samaki Mwanza.

Kulikuwa kuna Malaya wanajiuza toka Rwanda ila wanajidai ni Wanyambo wa Karagwe...Kuna jamaa yangu tumeenda Mwanza akalala hapo Deluxe na mtoto wa Kigali,asubuhi akakuta hata suti aliyotundika ukutani kuvaa kaa ajili ya semina imetunguliwa.
Albert G Sengo...Kwa sasa jamaa yuko Jembe FM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom