Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
- Thread starter
- #41
Mkuu hapa umenena kwa lugha?kum e zake kwa totozeee kwa mtibue lema hajakosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hapa umenena kwa lugha?kum e zake kwa totozeee kwa mtibue lema hajakosea
Kumbe zake ndo hizo mzee machache ndo maana yuko na totoz toka enzi na anamalizia na toto la Kinywaranda
Enzi izo nilikua zangu pande za Kolomije nawaza lini nitafika Mwanza kwa baba mkubwa!Wale mliochelewa kufika mjini na mliozaliwa 95, mtoto Sinta alikuwa moto wa kuotea mbalii
Huyu hapa
View attachment 1061953
Haahaaaaa, alikuwa namkimbia marehemu mkewe maskini, mzee alikuwa nyumbani kwa madame Ritha anakula uroda kumbe mama alikuwa ameshapata habari zao akamzukia, mzee akaona isiwe tabu akaparamia ukuta, .
Nina kaolewa na mshefa mmoja katulizwa anakula mema ya nchi habari hapatiUmenikumbusha mbali kiongozi, kuliwahi kuwa na mwanamke mkali kichizi pia enzi hizo, Nina nadhani alipotelea wapi huyu mrembo, nisamehe kiongozi kwa kwenda nje ya mada!
Hapana Nora aliolewa na ng'wizukulu jilala alikua mweupe...Nina ndio Nora?.. Yule White!?..
Hapana Norah ndo wa5!!Hahaa... kama walikuwa watano huyo watano si ndio sintah mwenyewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimsumbua sana yule mganga wa tiba asili ngwizkulu jilalaAmesumbua sana huyu Nora
HahahahaJuma Kassim Kiroboto ( Juma Nature) Mtoto wa Kurasini Kijiji Cha Wavuvi alikuwa Na Usela Mwingi Sana Na ndio maana waliotajirika kwa Jina Lake Ni wengi Sana
Yule Binti alikuwa anapenda kudanga Na Watu Maarufu Na ndio sababu miongoni mwa Fimbo alizokula zilikuwa Za Kijana huyo Mla ndumu
Enzi hizo Bongo record ya PFunky ilikuwa Kama Sebule ya TMK
Yupo...tulikuwa nae kwenye msiba wa boss mikocheni!Huyu mdada yupo bado kwani?
Pepo za vuli na kusi zilijichanganya wakati ule
Alikuwa hodari wa kuchambua maisha ya watu
Wakati wa kuchambua ujue kuna siku nawe utachambuliwa
Dah, maisha ndo haya haya.Magazeti ya udaku kipindi yanauzwa sh.100
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapa mkuuWale ambao tulichelewa kufika mjini hamuwezi kutuwekea kapicha kake tumuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasaiv washakua wapigania UhuruHao ni watu wawili tofauti huyu Nina[emoji116]
View attachment 1061950
Kuna marehemu Vaileth Mzindakaya pia.Hahaa... kama walikuwa watano huyo watano si ndio sintah mwenyewe!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaa yule manzi akikutazama tu unaweza kukojoa aiseDah! yale macho yalikuwa ni noma kiongozi, hawa wadada wa bongo movie wa siku hizi bure kabisa.
aisee ..wewe jamaa isije kuwa ni kinje maana kila habari nyeti za mjini unazo weweHaahaaaaa, alikuwa namkimbia marehemu mkewe maskini, mzee alikuwa nyumbani kwa madame Ritha anakula uroda kumbe mama alikuwa ameshapata habari zao akamzukia, mzee akaona isiwe tabu akaparamia ukuta, .