Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Sintah alikwama sana kwa Juma Nature

Nakumbuka hii halafu wewe mhenga mwenzangu kumbeeee!!na mjini hatujaja na smartphone wala Facebook!!!
Haahaaaaa, alikuwa namkimbia marehemu mkewe maskini, mzee alikuwa nyumbani kwa madame Ritha anakula uroda kumbe mama alikuwa ameshapata habari zao akamzukia, mzee akaona isiwe tabu akaparamia ukuta, .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juma Kassim Kiroboto ( Juma Nature) Mtoto wa Kurasini Kijiji Cha Wavuvi alikuwa Na Usela Mwingi Sana Na ndio maana waliotajirika kwa Jina Lake Ni wengi Sana

Yule Binti alikuwa anapenda kudanga Na Watu Maarufu Na ndio sababu miongoni mwa Fimbo alizokula zilikuwa Za Kijana huyo Mla ndumu

Enzi hizo Bongo record ya PFunky ilikuwa Kama Sebule ya TMK
Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mdada yupo bado kwani?
Pepo za vuli na kusi zilijichanganya wakati ule
Alikuwa hodari wa kuchambua maisha ya watu
Wakati wa kuchambua ujue kuna siku nawe utachambuliwa
Yupo...tulikuwa nae kwenye msiba wa boss mikocheni!

Halafu ana kamwili kadogo unaweza dhani ni rika la lulu kastuli...sema anajikwatua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale ambao tulichelewa kufika mjini hamuwezi kutuwekea kapicha kake tumuone

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapa mkuu
Screenshot_20190404-012859.jpeg
Screenshot_20190404-013019.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom