Sintah Amponda demu Aliyempora Wema Bwana...

Sintah Amponda demu Aliyempora Wema Bwana...

yeye ashakosa nae wanaume amuache mwenzie atumie fursaa
 
Kila siku nasema bora marafiki zangu wawe mapaka na mambwa, sasa so called kigogo wa madam amekaa hapo juu sasa, sasa huyu dada jamani daah yaani mtu umemjua hata miezi miwili bado umeshajisexisha kiasi hiki na kuchora tattoo, kweli wanawake tunajishangaza wenyewe, sasa yeye anaona anamkomoa mwenzie haaa jamani hii Tanzania kuna vibweka kila kukicha
Naima aliechukua nafasi ya madam
yaani ndipo nina amini wanawake
mwalimu wetu ni kipofu
upo na mwanaume less than 2 months
unajichora hivi
Wewe watu wako katika biznes hapo hiyo ndio risiti kuwa mzigo ushanunuliwa!
 
Hahaha umeniwahi. Tunakumbushwa unapomnyooshea kidole mwenzako jua kuna vidole vitatu vinakupoint wewe mwenyewe. Chunguza nafsi yako kwanza kabla hujamtupia mwenzio mawe!. Yule Professor wake alozaa nae si alimfuatia pesa au?!

wale wale kasoro majina!!!!!!!!!!!

na mimba yake ya safari hii haikuagi tu
 
hivi saad mwanamboka kaachana na Naima?
 
Back
Top Bottom