Sintofaham ya usajili 2018/2019

Nkwe2RG

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
231
Reaction score
224
Wakuu, salaam!
Mimi ni layman kwenye masuala ya kanun za kabumbu. Hivi, inakuwaje kipindi hiki baada ya kumalizika kwa msim wa ligi kuu vpl 2017/2018 dirisha kuu la usajili bado halijafunguliwa lakin tunashuhudia clubs za Chamazi, Unyamani, wakamua alizeti wakiendelea na usajili na kuwatangaza kabisa na pengine kusafiri na team kama vile Kaheza, Ngoma na n.k. kanun zimekaaje kukhusu usajili nje ya muda makhsus wa usajil.
 
Tff kumejaa rushwa tu
Na vtambi hakuna wafanyakaz hapo
 
Unamaansha kinachoendelea ni kinyume na utaratib wa tff, au namna gan
Sasa ww unaona tim znafanya usajili
Na kutangaza kabsa na unaona dirisha
La usajili halijafunguliwa,,hapo kuna nn
Kingine kama co watu wanaweka vitambi
Mbele
 
kwani yanga mmeishia wapi kuhusu yule jamaa wa Benin?
 
Sasa ww unaona tim znafanya usajili
Na kutangaza kabsa na unaona dirisha
La usajili halijafunguliwa,,hapo kuna nn
Kingine kama co watu wanaweka vitambi
Mbele
Naamin kuna kakifungu flan wanaegemea, hawawez kuichezea sharub tff this much. Tusubir waje wenye uelewa na jambo hili wanitoe ushamba
 
Naamin kuna kakifungu flan wanaegemea, hawawez kuichezea sharub tff this much. Tusubir waje wenye uelewa na jambo hili wanitoe ushamba
Kama ka kifungu ka namna hyo
Bhas hakuna haja ya kuwa na dirisha la usajili

Wazee wa kanuni za vpl njoon huku
 
Hiki ni kipindi cha kuingia mikataba.
Usajili wenyewe haufanyiki hadi dirisha lifunguliwe na hii ndio kazi ya TFF.

Wakati dirisha la usajili linapofunguliwa, taarifa za wachezaji pamoja na nyaraka zao hasa nakala ya mkataba ndio huambatanishwa
 
Sasa ww unaona tim znafanya usajili
Na kutangaza kabsa na unaona dirisha
La usajili halijafunguliwa,,hapo kuna nn
Kingine kama co watu wanaweka vitambi
Mbele
Bora mwenzio ameomba aelekezwe kwa nini wanafanya hivyo! Kuliko wewe. Kukaa kimya pia ni akili kuliko kusema jambo usilolijua
 
Kipindi hiki wanaingia mikataba tu, simba wanawatumia kwenye michezo ya sportpesa kwa sababu Yale mashindano hayatabuliwi na FIFA Afu sheria ya mashindano hayo haizuii kuwatumia,
Dirisha likifunguliwa ndo nyaraka zinapelekwa TFF na kua kua mchezaji rasmi ya klabu husika kisha atakua anatabuliwa na TFF pamoja na FIFA
 
Tff kuanzia Rais , Katibu na wajumbe wote ni Bi Hindu fc ndiyo maana wanawabeba
 
hupendi kabisa kutumia akili . kwa nini ? unajisikia raha gani kutotumia akili kabisa? tumia hata mara moja moja please...ni vizuri kutumia akili kuliko kutotumia.

unaombea arudi nani? malinzi na manji? ha ha ha..... nambie team ambayo imekwambia imemsajili mchezaji flan. unafaham maana ya usajili? unafaham maana ya kuingia mkataba kuwa usajili wangu ukiisha na team flani mimi ntakuja kujiunga na ninyi?

Tff kuanzia Rais , Katibu na wajumbe wote ni Bi Hindu fc ndiyo maana wanawabeba
 
Hivi chirwa kaenda Azam fc au maneno ya mtaani tu
 
Hiki ni kipindi cha kuingia mikataba.
Usajili wenyewe haufanyiki hadi dirisha lifunguliwe na hii ndio kazi ya TFF.

Wakati dirisha la usajili linapofunguliwa, taarifa za wachezaji pamoja na nyaraka zao hasa nakala ya mkataba ndio huambatanishwa

Shukrana sana mkuu... imekaa poa sasa
 
Asante sana, khususan hapo ulipomalizia ndo pamenikhusu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…