Sintofahamu Nyongeza ya Mishahara: Serikali Kukutana na TUCTA 26/07/2022

Sintofahamu Nyongeza ya Mishahara: Serikali Kukutana na TUCTA 26/07/2022

Hao viongozi wa TUCTA wakitoka kupigwa sound wanakuja kuwapa moyo wafanyakazi, then from there hizi hasira za siku mbili zinayeyuka maisha yanaendelea na nyongeza zinazoeleka.

Katiba Mpya [Rasimu ya Warioba ] ndio dawa ya matatizo mengi yanayoikumba jamii yetu, angalau pawepo na sheria zitakazowalazimu watawala kuzifuata, wasipozifuata ni mahakamani.

Kuwa na taasisi imara ni muhimu sana, mfano hao TUCTA wanaweza kuwa chachu ya mabadiliko ya nchi hii, lakini kwa udhaifu wao wamewekwa mfukoni na watawala.

Vyama kama TUCTA nchi nyingine vinaheshimiwa sana na serikali zao kwa sababu ya nguvu waliyonayo, ajabu hapa kwetu walimu nao hutumika kwenye kuiba kura ili hao watawala wanaowaonea waendelee kubaki madarakani!.
Kwahiyo wanakwenda kukaa na kuwaridhisha viongozi pekee
 
Tamthilia hii ya 'nyongeza ya mishahara' imeingia kwenye 'season two'.Nilikua naisubiri kwa hamu.Ngoja tuone.
 
Wananchi tumechoshwa na UONGO!

Mlisema Bei ya mafuta itashuka KWA kukopa billion 100 dollar kutoka IMF na haijashuka Hadi leo!!

Mmewaahidi watumishi 23.3% Lakini hola!!

Sasa hatutaki dana dana fanyeni hivi;-

"Samiah jiuzulu Sasa nchi imeshakushinda, ulambaji asali umekuponza"!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA""!
Mambo mseto yanaumiza kichwa.
kai%20ya%20upandaji%20wa.jpg
 
Hapo mtapewa maneno tu
Watumishi mloshapigwa, bajeti iloyopitishwa ishaanza kutumika
 
Ufafanuzi wenyewe ndio huu:
Mh. Raisi alitangaza kuongeza 23.3% ya mshahara kwa kima cha chini; na ametekeleza; na serikali imetekeleza. Pongezi nyingi Kwa serikali.
Wafanyakazi wanalalamika kwa kutomuelewa vyema mh. raisi.
Wakati huu serikali ikijitahidi kupunguza mfumuko WA bei uliosabishwa na COVID 19 na vita, tutoe rai Kwa wafanyazi kuchapa kazi ili kukuza uchumi na hatimaye pato la taifa na mishahara hapo mwakani.
Jiandae kuhesabiwa!
 
IMG-20220725-WA0013.jpg

Binafsi nasikitishwa sana na kinachoendelea, ni kama walijua walicho kifanya na wakaandaa na Jibu. Na hao Tukta wamekuwa kama idara pale wizara ya kazi, any way Muda ndiye muamuzi wa haki tungoje kesho.
n.b. mods msiunganishe thread yangu na nyingine mnataka mpaka aanzishe nani ?
 
Hao viongozi wa TUCTA wakitoka kupigwa sound wanakuja kuwapa moyo wafanyakazi, then from there hizi hasira za siku mbili zinayeyuka maisha yanaendelea na nyongeza zinazoeleka.

Katiba Mpya [Rasimu ya Warioba ] ndio dawa ya matatizo mengi yanayoikumba jamii yetu, angalau pawepo na sheria zitakazowalazimu watawala kuzifuata, wasipozifuata ni mahakamani.

Kuwa na taasisi imara ni muhimu sana, mfano hao TUCTA wanaweza kuwa chachu ya mabadiliko ya nchi hii, lakini kwa udhaifu wao wamewekwa mfukoni na watawala.

Vyama kama TUCTA nchi nyingine vinaheshimiwa sana na serikali zao kwa sababu ya nguvu waliyonayo, ajabu hapa kwetu walimu nao hutumika kwenye kuiba kura ili hao watawala wanaowaonea waendelee kubaki madarakani!.
Tucta wamewauza wafanyakazi kwa bei chee.mara ya kwanza wameuzwa kwenye kikotoo na mara ya pili kwenye nyongeza ya mishahara.wafanyakazi jiondoeni kwenye vyama vya wafanyakazi ili muanze na mfumo mwingine vinginevyo hanatoboa popote sababu hao ni sehemu ya CCM.
 
Serikali kupitia ukurasa wa Twitter wa Msemaji Mkuu wa Serikali imesema itakutana na viongozi wa TUCTA kuhusu suala la nyongeza ya mishahara. Taarifa hiyo imesema hivi:

Ndugu wafanyakazi, Jumanne tarehe 26 Julai, 2022 Serikali itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara katika mishahara ya Julai, 2022.

======

Haya sasa sijui Serikali ijataka kusema nini

View attachment 2302216
Wameishasema wanaenda kutoa ufafanuzi. Mwenye akili asome na aelewe. Hakuna kipya Tena hapo

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Tucta wamewauza wafanyakazi kwa bei chee.mara ya kwanza wameuzwa kwenye kikotoo na mara ya pili kwenye nyongeza ya mishahara.wafanyakazi jiondoeni kwenye vyama vya wafanyakazi ili muanze na mfumo mwingine vinginevyo hanatoboa popote sababu hao ni sehemu ya CCM.
Point tupu bora wajitoe kwenye huo ujinga
 
UJINGA WENU NDIO UNAOFANYA MUENDELEE KUDANGANYIKA ,HIVI KWA NINI MSIJIFUNZE KWA YANAO ENDELEA NCHI MBALI MBALI DUNIANI. KAENI KIKAO NYIE WENYEWE KWANZA NA KUIPA SERIKALI ULTIMATUM KABLA YA KUGOMA KABLA YA KWENDA KWENYE MEZA YA MAJADILIANO
 
Back
Top Bottom