pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Sukari imeadimika, sukari imekua adimu, sukari zimefungiwa kusiko julikana je ni ukaidi wa bei elekezi au nikweli viwandani production imepungua.
Wajuzi wa mambo mtujulishe wapi machimbo tunaweza kupata bidhaa hii iliyo adimika ghafla.
Wajuzi wa mambo mtujulishe wapi machimbo tunaweza kupata bidhaa hii iliyo adimika ghafla.