Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

 
Asante mkuu kwa mwendelezo,ila nna mawasali hivi kati ya hao wa tutsi na wahutu ni yupi alianza kumbagua/kuua mwenzie?na kati ya hao yupi ni mkatili kuliko mwenzie?
Jibu lako nikujibu kama ifuatavyo don't trust rwandese ,mtusi akiwa madarakani mhutu anapata cha mtemakuni kama ilivyo sasa japo now inafichwafichwa kidikteta na mzee PK so ukitembelea magereza yote ya rwanda waliojazwa humo ni kabila la Wahutu, Watusi ni asilimia chache sanaa na mhutu akiwa madarakani cha moto anakiona mtusi mfano enzi za habyarimana hayo mengine ya miaka sijui ya 50's na 70's huwa nasoma tuu kama wewe unavyoyasona kwenye stori za rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story ishaendelea na iko mbali sana tafuta humu humu kwwnye comment
 
Asante mkuu kwa mwendelezo,ila nna mawasali hivi kati ya hao wa tutsi na wahutu ni yupi alianza kumbagua/kuua mwenzie?na kati ya hao yupi ni mkatili kuliko mwenzie?
Watusi ni akina Kagame ambao leo ndo watawala, ukiconnect dots, ni kama vile kabla watusi hawajashika hatamu na kuonyesha ubabe wao kama malipizi, tayari walinyanyasika kiasi cha kutosha. Ngoja mzee wetu aendelee kumimina matukio...

Wenzangu na mimi mnaojifunza Kinyarwanda twende pamoja:
Mugore (mke/demu)
Amakuru (Mambo/habari yako)

Niliona Niyonzima wa Yanga ana binti mrembo, nitakuwa na pa kuanzia nikitupa ndoano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu kwa mwendelezo,ila nna mawasali hivi kati ya hao wa tutsi na wahutu ni yupi alianza kumbagua/kuua mwenzie?na kati ya hao yupi ni mkatili kuliko mwenzie?
Hebu google ... ni historia ndefu ..acha atupe simulizi tu..hiyo simu unaitumiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni hivyo aunganishe na vita ya Guba ya uajemi miaka ya 1990 mathafanta huyu
 
Ninavyopenda story hapa nimeshawaka... leta vitu Mkuu.
Halafu hii tabia ya watu kuvamia story na kukashifu kuwa ni uongo, ya nini? Kama unaona story ni ya uongo si uachane nayo?
Ustaarabu ni jambo la msingi linalowashinda wengi, hakika.
Hakuna ustaarabu humu.....
ww binuka staili unayoona inakufaa...
 
Pole kwa kupoteana na mtoto mzuri cheupe.
Nilipofika kusoma hapo, nimesikitika sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni juzi tu weekend nilikuwa naangalia "SOMETIMES IN APRIL", so touching. Kila nikiangalia ile movie nilikuwa najiuliza nini kiliwaingia hawa watu, yaani unyama unyamani, whoever engineered the massacre in Rwanda anastahili kuchapwa risasi mwili mzima.

Mkuu wewe endeleza story, tupo interested kupata picha halisi za mtu aliyeishi huko, humu tupo wa aina tofauti, na umri wako hutakiwi kuweka vitu rohoni, kuna kiharusi na shinikizo, sio vitu vizuri hivyo.
 
Alfu eti kapanda bus to kahama,mfanyakazi wa embassy unapewa elfu 60tsh then na kupanda bus?eti nikapiga Sim! Urikua unatembea na Sim ya fix?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…