Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Kuna comment zina chekesha Kuna watu wako radhi kulia ili story iendelee..wana comment kwa hisia zote najua wame ku PM wengi sana ulipo taka kui hairisha[emoji81][emoji81][emoji81]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe tupia tupia matukio kadhaa unayokumbuka wakati tunasubir mleta mada kama kuchangamsha tu.
Akifanya hivyo ataharibu uzi. Bora asubirie hadi mwenye simulizi yake amalize kabisa ndiyo aongezee hayo ya kwake. Hata sisi wengine tunayo baadhi ya mambo ya kusimulia kuhusu mauaji hayo lakini tumempa nafasi mwenye mada yake anogeshe mambo.
 
Yani nasoma hadi mwili unasisimka...but naona umejitahidi sana kuna codes( classified info) nyingi kwenye hii hadithi...funguka tu ni zaidi ya miaka ishirini sasa.
Lile wingu lilisababisbwa na nini?ama ndege iliyotunguliwa ilikua karibu na eneo la ubalozini?
 
Acha tu
Sent using komputa mpakato
 
Uje utuambie huyu Mnyarwanda anayetuendesha hapa nyumbani kama alikuja nchini na hayo Mabasi

Sent from my SM-A207F using Tapatalk
 
Hapo waweza tazama movie moja inaitwa "Rules of Engagement" kwa kusindikizia hii story...
Naona wazee wa defender walitangulia kufanya yao..
 
Kuna dada mmoja humu anaitwa Jestkilla ni mnyarwanda tena mtusti amekuwa akitoa maneno ya kashifa na dharau kwa watanzania humu ndani...

Amesahau, jinsi tulivyowasaidia ndugu zao hadi kufikia ku-force ndoa ili kuwaupusha na vifo maana walikua wanachinjana kama mijusi...

Kuanzia leo naomba awaombe radhi Watanzania walioko humu kwa lugha chafu alizokua akiitolea Tanzania...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Inatisha na inasikitisha Sana
 
Hao wengi wao walizaliwa 96 kwenda chini....hawezi jua kitu msamehe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akifanya hivyo ataharibu uzi. Bora asubirie hadi mwenye simulizi yake amalize kabisa ndiyo aongezee hayo ya kwake. Hata sisi wengine tunayo baadhi ya mambo ya kusimulia kuhusu mauaji hayo lakini tumempa nafasi mwenye mada yake anogeshe mambo.
Nimekupata mkuu
 
Nashindwa nikujibu je.ila nikuombe hebu angalia move za mauaji ya kivita kuna hali inakuwa kama vile haiko sawasawana kama vile nchi inapokuwa na amani. Angalia move kama diamond blood,tears of the sun, au hata angalia vita ya kagera Tanzania na Uganda. Yanii angani kuna wingu jeupe linashuka karibia ardhi sijaweza kujua ni nini.
Mkuu ufafanuzi kidogo lile wingu lilisababishwa na nn

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…